Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARIN HASSAN MARIN

Aliyekuwa mtangazaji nguli wa Shirika la  Utangazaji Tanzania (TBC) Marin Hasan Marin amefariki dunia usiku wa kuamkia leo

Mkurugenzi wa Shirika hilo la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba amesema kifo cha Marin Hassan Marin kicmetokea leo asubuhi katika Hospitali ya Jeshi  Lugalo, jijini Dar es Salaam.

Amesema taarifa  zaidi juu ya kifo cha Marin zitaendelea kutolewa na uongozi wa TBC.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

Messages flow freely as journalist Marin Hassan Marin is laid to rest in Zanzibar

Messages flow freely as journalist Marin Hassan Marin is laid to rest in Zanzibar  The Citizen Daily

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WA ZANZIBAR WASHIRIKI MAZIKO YA MWANDISHI WA HABARI MUANDAMIZI WA TBC MARIN HASSAN MARIN



WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiwa katika Ibada ya kuusalia Mwili wa Marehemu Marin Hassan Marin, Mwandishi wa Habari Muandamiziu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) sala na dua hiyo imefanyika katiuka Msikiti wa KMKM Kibweni Wilaya ya Magharibi”A” Unguja leo 2/4./2020,saa nne na kuzikwa katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Jijini Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marin Cilic bingwa US Open

Marin Cilic wa Croatia ameibuka bingwa wa US Open kwa kumshinda Kei Nishikori wa Japan

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti

Mbunge wa Mvomero Mh, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi kumuona Waziri Mkuu Mh, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.  Kutokana na hali hiyo, Mbunge huyo kwa kushirikiana na Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji cha Kugugu kuongea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani