MARIN HASSAN MARIN
![](https://1.bp.blogspot.com/-IaccsjGs7fE/XoRepsm0K1I/AAAAAAACJkk/hSLcxV5OyG4QpmLD51KSE6B24JEPaJZqQCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1585732347873.jpg)
Aliyekuwa mtangazaji nguli wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Marin Hasan Marin amefariki dunia usiku wa kuamkia leo
Mkurugenzi wa Shirika hilo la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba amesema kifo cha Marin Hassan Marin kicmetokea leo asubuhi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, jijini Dar es Salaam.
Amesema taarifa zaidi juu ya kifo cha Marin zitaendelea kutolewa na uongozi wa TBC.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
The Citizen Daily02 Apr
Messages flow freely as journalist Marin Hassan Marin is laid to rest in Zanzibar
Messages flow freely as journalist Marin Hassan Marin is laid to rest in Zanzibar The Citizen Daily
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M-cRijamjiM/XoXSi8dKiWI/AAAAAAALl1A/4alH_n-PZpw2Z0SkEVgQwLmQiHqIumsaACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0353AAA-768x576.jpg)
WANANCHI WA ZANZIBAR WASHIRIKI MAZIKO YA MWANDISHI WA HABARI MUANDAMIZI WA TBC MARIN HASSAN MARIN
![](https://1.bp.blogspot.com/-M-cRijamjiM/XoXSi8dKiWI/AAAAAAALl1A/4alH_n-PZpw2Z0SkEVgQwLmQiHqIumsaACLcBGAsYHQ/s640/IMG_0353AAA-768x576.jpg)
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiwa katika Ibada ya kuusalia Mwili wa Marehemu Marin Hassan Marin, Mwandishi wa Habari Muandamiziu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) sala na dua hiyo imefanyika katiuka Msikiti wa KMKM Kibweni Wilaya ya Magharibi”A” Unguja leo 2/4./2020,saa nne na kuzikwa katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Jijini Zanzibar.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG_0614AA-1024x768.jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Marin Cilic bingwa US Open
Marin Cilic wa Croatia ameibuka bingwa wa US Open kwa kumshinda Kei Nishikori wa Japan
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
Mbunge wa Mvomero Mh, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi kumuona Waziri Mkuu Mh, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola. Kutokana na hali hiyo, Mbunge huyo kwa kushirikiana na Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji cha Kugugu kuongea na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10