Murray asonga mbele Australian Open
Andy Murray yumo mbioni kushinda mashindano ya Tennis ya Australian Open baada ya kumbwaga Feliciano Lopez katika raundi ya 3
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 May
Andy Murray asonga mbele French Open
Muingereza Andy Murray amezidi kusonga mbele katika mashindano ya French Open baada ya kutinga mzunguko wa tatu kwenye mashindano hayo pale alipomshinda Joao Sousa raia wa Ureno
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Konta asonga mbele Watson atupwa nje
Mcheza tenesi Johanna Konta ametinga hatua ya nane bora ya michuano ya kimataifa ya tenesi ya Aegon.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UmTytg8h6Jfblds815qNTq-e3whhePn8ZPCYuVB7iYgBP5JeTYjmIFvUCBiDYyTe5UySBWAYLRqasxVEWStz2IgG4IYpNXUz/stanislaswawinkagestures640.jpg)
WAWRINKA BINGWA AUSTRALIAN OPEN
Stanislas Wawrinka. MCHEZA Tenisi kutoka Uswisi, Stanislas Wawrinka ametwaa taji la Grand Slam, kwa kumshinda Rafael Nadal kwa seti 6-3, 6-2, 3-6, 6-3 katika mechi ya fainali ya michuano ya Australian Open hivi punde. Rafael…
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Murry atinga fainali Australian Open
Mwingereza Andy Murry ameshaingia hatua ya fainali baada ya kufunga mpinzani wake Thomas Berdych katika hatua ya nusu fainali.
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Jua kali lasitisha Australian Open
Viwango vya juu vya joto vimewalazimisha waandalizi wa mashindano ya tennis ya Australian Open, kusimamisha mashindano hayo.
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Andy Murray nje US Open
Mcheza Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya kusini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVLOMU5TIZzSOxVjuZT7IovpX4KiY*uLEdxS-zD6BTVdrcg1yROp2nYngIGpNVe-Tfjz3I*fgy*dmE-SC91fsAq/NovakDjokovic.jpg)
ANDY MURRAY AONDOLEWA US OPEN
Mserbia Novak Djokovic baada ya ushindi dhidi ya Murray. Andy Murray wakati wa mpambano huo.…
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Andy Murray , Novak wajipanga Us Open
Andy Murray amepangwa kucheza wa tatu nyuma ya Novak Djokovich na Rodger Federer kuelekea michuano ya US Open inayotarajiwa kuanza juma lijalo
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Murray atinga robo fainali Miami Open
Andy Murray amekuwa Mwingereza wa kwanza kuweka historia katika mchezo wa tenis wa mashindano ya Miami Open.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania