Andy Murray , Novak wajipanga Us Open
Andy Murray amepangwa kucheza wa tatu nyuma ya Novak Djokovich na Rodger Federer kuelekea michuano ya US Open inayotarajiwa kuanza juma lijalo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Andy Murray nje US Open
Mcheza Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya kusini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVLOMU5TIZzSOxVjuZT7IovpX4KiY*uLEdxS-zD6BTVdrcg1yROp2nYngIGpNVe-Tfjz3I*fgy*dmE-SC91fsAq/NovakDjokovic.jpg)
ANDY MURRAY AONDOLEWA US OPEN
Mserbia Novak Djokovic baada ya ushindi dhidi ya Murray. Andy Murray wakati wa mpambano huo.…
10 years ago
BBCSwahili29 May
Andy Murray asonga mbele French Open
Muingereza Andy Murray amezidi kusonga mbele katika mashindano ya French Open baada ya kutinga mzunguko wa tatu kwenye mashindano hayo pale alipomshinda Joao Sousa raia wa Ureno
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3PUviCoGU6ULtWmjR0M1-lVLb9toIxKFw0uI0R8VNkpmAM7kgkwBHSDlpKmZcj3YhKnm-VfqxB-EpqTRyPUa6nu/1.jpg)
ANDY MURRAY ATINGA RAUNDI YA 3 FRENCH OPEN
Andy Murray ametinga raundi ya tatu kwa kumtoa Marinko Matosevic. Andy Murray akikwaana na Marinko Matosevic. Mashabiki wakishuhudia mpambano…
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Andy Murray atwaa kikombe
Nyota namba tatu kwa ubora wa mchezo wa tenesi muingereza Andy Murray ametwaa ubingwa wa michuano ya Rogers
10 years ago
BBCSwahili28 May
Andy Murray kumvaa Joao Sousa,
Mashindano ya tenis ya French Open yanaendelea tena leo hii wakati waingireza wawili ,Andy Murray na Heather Watson wanashuka dimbani kucheza katika mzunguko wa pili.
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Andy Murray atinga robo fainali
Mcheza tenis wa Uingereza Andy Murray ametinga hatua ya robo fainali ya mashindano ya French Open
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Andy Murray ashindwa Indiana Wells
Murray alishindwa kwa seti tatu kwa moja na Milos Raonic ambaye ameorodheshwa kama mchezaji wa kumi bora katika mashindano hayo
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Andy Murray azidi kufanya vyema
Andy Murray ametika raundi ya tatu katika kombe la Rodgers, baada ya ushindi wa 6-4 7-5 mbele ya Mhispana Tommy Robredo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania