Andy Murray asonga mbele French Open
Muingereza Andy Murray amezidi kusonga mbele katika mashindano ya French Open baada ya kutinga mzunguko wa tatu kwenye mashindano hayo pale alipomshinda Joao Sousa raia wa Ureno
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Jan
Murray asonga mbele Australian Open
Andy Murray yumo mbioni kushinda mashindano ya Tennis ya Australian Open baada ya kumbwaga Feliciano Lopez katika raundi ya 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3PUviCoGU6ULtWmjR0M1-lVLb9toIxKFw0uI0R8VNkpmAM7kgkwBHSDlpKmZcj3YhKnm-VfqxB-EpqTRyPUa6nu/1.jpg)
ANDY MURRAY ATINGA RAUNDI YA 3 FRENCH OPEN
Andy Murray ametinga raundi ya tatu kwa kumtoa Marinko Matosevic. Andy Murray akikwaana na Marinko Matosevic. Mashabiki wakishuhudia mpambano…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVLOMU5TIZzSOxVjuZT7IovpX4KiY*uLEdxS-zD6BTVdrcg1yROp2nYngIGpNVe-Tfjz3I*fgy*dmE-SC91fsAq/NovakDjokovic.jpg)
ANDY MURRAY AONDOLEWA US OPEN
Mserbia Novak Djokovic baada ya ushindi dhidi ya Murray. Andy Murray wakati wa mpambano huo.…
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Andy Murray nje US Open
Mcheza Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya kusini.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Andy Murray , Novak wajipanga Us Open
Andy Murray amepangwa kucheza wa tatu nyuma ya Novak Djokovich na Rodger Federer kuelekea michuano ya US Open inayotarajiwa kuanza juma lijalo
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Konta asonga mbele Watson atupwa nje
Mcheza tenesi Johanna Konta ametinga hatua ya nane bora ya michuano ya kimataifa ya tenesi ya Aegon.
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Andy Murray atwaa kikombe
Nyota namba tatu kwa ubora wa mchezo wa tenesi muingereza Andy Murray ametwaa ubingwa wa michuano ya Rogers
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Loic Courteau kujiunga na Andy Murray?
Kocha wa mchezo wa tenesi Loic Courteau anafanya mazungumzo ya kujiunga na timu ya Andy Murray msimu ujao.
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Andy Murray ambwaga David Ferre
Mchezaji Tennis Andy Murray amembwaga David Ferrer katika mashindano ya wazi ya Vienna.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania