Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Konta asonga mbele Watson atupwa nje

Mcheza tenesi Johanna Konta ametinga hatua ya nane bora ya michuano ya kimataifa ya tenesi ya Aegon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Murray asonga mbele Australian Open

Andy Murray yumo mbioni kushinda mashindano ya Tennis ya Australian Open baada ya kumbwaga Feliciano Lopez katika raundi ya 3

 

10 years ago

BBCSwahili

Andy Murray asonga mbele French Open

Muingereza Andy Murray amezidi kusonga mbele katika mashindano ya French Open baada ya kutinga mzunguko wa tatu kwenye mashindano hayo pale alipomshinda Joao Sousa raia wa Ureno

 

5 years ago

Bongo5

Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje

Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.

Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.

Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Federer atupwa nje michuano ya Shanghai

Nyota wa mchezo wa tenesi Roger Federer, ametupwa nje ya michuano ya Shanghai Masters

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray ashinda, Federer atupwa nje

Mcheza tenesi Andy Murray ameibuka na ushindi dhidi ya philipp kohlschreiber katika michuano ya wazi ya madrid.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sharapova atupwa nje michuano ya Miami

Mcheza tenisi namabri mbili duniani kwa wanawake, Maria Sharapova amejikuta akiyaaga mashindano ya Wazi ya Miami

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA UFARANSA KOMBE LA DUNIA 2014, NASRI ATUPWA NJE

Goalkeepers: Hugo Lloris (Tottenham Hotspur), Steve Mandanda (Olympique Marseille), Mickael Landreau (Bastia) Defenders: Mathieu Debuchy (Newcastle United), Lucas Digne (Paris St Germain) Patrice Evra (Manchester United), Laurent Koscielny (Arsenal), Eliaquim Mangala (Porto), Bacary Sagna (Arsenal), Mamadou Sakho (Liverpool), Raphael Varane (Real Madrid)

Midfielders: Yohan Cabaye (Paris St Germain), Clement Grenier (Olympique...

 

10 years ago

Mwananchi

Irene Uwoya - Macho mbele nje ya nchi

Katika kile kinachoonekana waigizaji wa kike kutaka kukuza tasnia ya uigizaji kwa kuvuka mipaka ya nchi, mwigizaji Irene Uwoya amesema kuwa anataka atambulike nje ya nchi kuliko ndani.

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene uwoya- macho mbele nje ya nchi.

Katika kile kinachoonekana waigizaji wa kike kutaka kukuza tasnia ya uigizaji kwa kuvuka mipaka ya nchi, mwigizaji Irene Uwoya amesema kuwa anataka atambulike nje ya nchi kuliko ndani.

Akiweka hoja yake sawa, mwanadada huyo anayedaiwa kuendelea kuwa na mvuto katika tasnia ya filamu alisema anajua kuwa siyo jambo rahisi kufanya vizuri nje ya nchi, lakini huko ndiko anakotaka kufika, hivyo inyeshe mvua au liwake jua, atajitahidi kuhakikisha kwamba ndoto zake zinatimia.

Uwoya alisema kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani