KIKOSI CHA UFARANSA KOMBE LA DUNIA 2014, NASRI ATUPWA NJE
![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjo9ZRz7zx859Br4G7B2BDxCs*4sO-tb1QEGBclx0Kkjx7SFbhja7rYW7QFFJ3i5*A0EXcuQiKNfdQM01qJyema/184769104.jpg?width=650)
Goalkeepers: Hugo Lloris (Tottenham Hotspur), Steve Mandanda (Olympique Marseille), Mickael Landreau (Bastia) Defenders: Mathieu Debuchy (Newcastle United), Lucas Digne (Paris St Germain) Patrice Evra (Manchester United), Laurent Koscielny (Arsenal), Eliaquim Mangala (Porto), Bacary Sagna (Arsenal), Mamadou Sakho (Liverpool), Raphael Varane (Real Madrid) Midfielders: Yohan Cabaye (Paris St Germain), Clement Grenier (Olympique...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgdbvuTuoVYISc8gm7fBzxYGBWW*lkYy*wDPDUI7VsNeMPrz5rXVaGI0MhEb27-2wa7bSEaESHBB5gRwT8G43ka/Oranje.jpg?width=650)
KIKOSI CHA UHOLANZI KOMBE LA DUNIA 2014
11 years ago
Mwananchi09 Jun
BRAZIL 2014: Echiejile nae nje Kombe la Dunia
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Ribery nje ya Kombe la Dunia
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Italia nje ya kombe la dunia
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Ghana na Ureno nje ya kombe la dunia
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Luis Suarez nje ya kombe la dunia
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Cameroon imetupwa nje ya kombe la Dunia
Hii ni baada ya kushindwa kwa mabao manne kwa moja na timu ya Croatia katika Uwanja wa Manaus.
Cameroon walimaliza mechi hiyo wakiwa wachezaji kumi baada ya mchezaji wa Barcelona Alex Song kuondolewa kwa kupewa kadi nyekundu.
Cameroon hawakuwapa Croatia upinzani mgumu katika mchuano huu wa kundi A.
Croatia sasa wana matumaini ya kuwania nafasi ya pili katika kundi hilo dhidi ya Brazil na Mexico ili kuendelea katika raundi ya pili.
Croatia wanajua kuwa mshindi katika mechi yao na El Tri,...
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Ivory Coast nje ya kombe la Dunia
9 years ago
StarTV17 Nov
 Kombe La Challenge Kocha Kibaden atangaza kikosi cha wachezaji 21.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.
Kibadeni anayesaidiwa na kocha Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambao kama benchi la ufundi wamepata nafasi ya kuwa nao kwa muda mrefu na kutambua maendeleo yao.
Muda wa kutengana...