Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Italia nje ya kombe la dunia

Mabingwa mara nne wa kombe la dunia Italia walitupwa nje ya raundi ya pili baada ya kulazwa 1-0 na Uruguay

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ribery nje ya Kombe la Dunia

Mchezaji nyota wa Ufaransa Frank Ribery hatoshiriki fainali ya kombe la dunia huko Brazil.

 

11 years ago

Dewji Blog

Cameroon imetupwa nje ya kombe la Dunia

cam pics 1

Hii ni baada ya kushindwa kwa mabao manne kwa moja na timu ya Croatia katika Uwanja wa Manaus.

Cameroon walimaliza mechi hiyo wakiwa wachezaji kumi baada ya mchezaji wa Barcelona Alex Song kuondolewa kwa kupewa kadi nyekundu.

Cameroon hawakuwapa Croatia upinzani mgumu katika mchuano huu wa kundi A.

Croatia sasa wana matumaini ya kuwania nafasi ya pili katika kundi hilo dhidi ya Brazil na Mexico ili kuendelea katika raundi ya pili.

Croatia wanajua kuwa mshindi katika mechi yao na El Tri,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast nje ya kombe la Dunia

Matumaini ya timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa raundi ya pili ilitibuka Ivory Coast ilipolazwa na Ugiriki

 

11 years ago

BBCSwahili

Luis Suarez nje ya kombe la dunia

Shirikisho la FIFA limembania mechi 9 Suarez baada ya kupatikana na hatia ya kumuuma mlinzi wa Italia Giorgio Chiellini

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana na Ureno nje ya kombe la dunia

Ronaldo alifungia Ureno bao la ushindi dhidi ya Ghana lakini haitoshi kuinusuru .

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Echiejile nae nje Kombe la Dunia

Elderson Echiejile atakosa Fainali za Kombe la Dunia msimu huu kutokana na maumivu ya misuli ya paja.

 

11 years ago

GPL

KIKOSI CHA UFARANSA KOMBE LA DUNIA 2014, NASRI ATUPWA NJE

Goalkeepers: Hugo Lloris (Tottenham Hotspur), Steve Mandanda (Olympique Marseille), Mickael Landreau (Bastia) Defenders: Mathieu Debuchy (Newcastle United), Lucas Digne (Paris St Germain) Patrice Evra (Manchester United), Laurent Koscielny (Arsenal), Eliaquim Mangala (Porto), Bacary Sagna (Arsenal), Mamadou Sakho (Liverpool), Raphael Varane (Real Madrid)

Midfielders: Yohan Cabaye (Paris St Germain), Clement Grenier (Olympique...

 

10 years ago

Vijimambo

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha (mwenye tai) akisalimiana na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Mhe. Luigi Scotto alipotembelea Wizarani leo.Balozi Gamaha akisalimiana na Kansela Raffaele De Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia ambaye alifuatana na Balozi Scotto walipotembelea Wizara ya Mambo ya Nje leo. Balozi wa Italia (katikati) akimtambulisha Kansela Benedictis kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia kwa Kaimu...

 

11 years ago

GPL

SUAREZ AMNG’ATA MTU, ITALIA YATUPWA NJE

Sao Paulo, Brazil
TIMU ya taifa ya Uruguay imefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia nchini Brazil, lakini kituko ni straika wa timu hiyo, Luis Suarez kumng’ata beki wa Italia kwenye Dimba la Das Dunas. Beki wa Italia, Giorgio Chiellini akionyesha sehemu aliong'atwa na Suarez. Uruguay imefuzu hatua hiyo baada ya kuifunga Italia bao 1-0 katika mechi ya mwisho ya Kundi D ikiungana na Costa Rica ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani