Ivory Coast nje ya kombe la Dunia
Matumaini ya timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa raundi ya pili ilitibuka Ivory Coast ilipolazwa na Ugiriki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Ivory Coast kuwakosa Bony, Kalou na Toure katika mchezo wao wa kufuzu kombe la dunia Urusi 2018
Mchezaji wa Ivory Coast, Wilfred Bony
Na Rabi Hume
Timu ya Taifa ya Ivory Coast itakosa huduma ya wachezaji wake watatu muhimu katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Liberia.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Michael Dussuyer amewataja wachezaji hao kuwa ni Wilfred Bony, Solomon Kalou na Thomas Toure.
Kocha Dussuyer amesema tayari tayari ameita wachezaji wengine ambao watazipa nafasi zao ambao ni mshambuliaji Roger Assele na beki Arthur Baka ambao...
10 years ago
Bongo509 Feb
Picha: Ivory Coast yatwaa kombe la AFCON 2015
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Ivory Coast yatwaa ubingwa kombe la AFCON 2015 kwa kuichapa Ghana 9-8
Ivory Coast v Ghana Photograph: Khaled Desouki/AFP/Getty Images
And Barry scores!!!!! IVORY COAST ARE 2015 AFRICA CUP OF NATIONS CHAMPIONS.
What an amazing way to finish it. They could not be separated after 90 minutes. They could not be separated after an additional 30. The regular five penalties could not separate them either and it went all the way to the goalkeepers in sudden death. Braimah had his saved by Barry, who then stepped up to score the deciding kick.
Congratulations to Ivory...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UUNeG_7Raf8/VNTjYAsE2sI/AAAAAAAHCQc/bd6n71FdtjY/s72-c/unnamed.jpg)
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Ribery nje ya Kombe la Dunia
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Italia nje ya kombe la dunia
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Cameroon imetupwa nje ya kombe la Dunia
Hii ni baada ya kushindwa kwa mabao manne kwa moja na timu ya Croatia katika Uwanja wa Manaus.
Cameroon walimaliza mechi hiyo wakiwa wachezaji kumi baada ya mchezaji wa Barcelona Alex Song kuondolewa kwa kupewa kadi nyekundu.
Cameroon hawakuwapa Croatia upinzani mgumu katika mchuano huu wa kundi A.
Croatia sasa wana matumaini ya kuwania nafasi ya pili katika kundi hilo dhidi ya Brazil na Mexico ili kuendelea katika raundi ya pili.
Croatia wanajua kuwa mshindi katika mechi yao na El Tri,...
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Luis Suarez nje ya kombe la dunia
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Ghana na Ureno nje ya kombe la dunia