Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ivory Coast kuwakosa Bony, Kalou na Toure katika mchezo wao wa kufuzu kombe la dunia Urusi 2018

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Wilfred BonyMchezaji wa Ivory Coast, Wilfred Bony

Na Rabi Hume

Timu ya Taifa ya Ivory Coast itakosa huduma ya wachezaji wake watatu muhimu katika mchezo wa kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia dhidi ya Liberia.

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ivory Coast, Michael Dussuyer amewataja wachezaji hao kuwa ni Wilfred Bony, Solomon Kalou na Thomas Toure.

Kocha Dussuyer amesema tayari tayari ameita wachezaji wengine ambao watazipa nafasi zao ambao ni mshambuliaji Roger Assele na beki Arthur Baka ambao...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya michezo ya jana ya kufuzu kucheza kombe la dunia Urusi 2018

taifa stars vs nigeria

Kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars. Timu yetu ya Taifa Stars iliyochezwa jana usiku imeweza kufuta ndoto zake za kusonga mbele baada ya kupata matokeo mabaya zaidi kwa kufungwa 5-0, bao ambazo zinafanya matokeo kuwa 7-2, dhidi ya mabao ambayo Stars iliweza kuyapata awali mchezo uliochezwa nchini na kutoka sare ya 2-2.

CONMEBOL – Amerika Kusini
Columbia 0 – 1 Argentina

Venezuela 1 – 3 Bolivia

Paraguay 2 – 1 Bolivia

Uruguay 3 – 0 Chile

Brazil 3 – 0 Peru

CAF – Afrika
Rwanda 1 – 3 Libya

 

9 years ago

Dewji Blog

SPORT NEWS: Matokeo ya michezo ya jana kutafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia 2018 na ratiba ya leo Novemba 14!

World Cup 2018

Matokeo ya michezo ya Jana Novemba 13

CONMEBOL Qualification;

Argentina 1 – 1 Brazil

Peru 1 – 0 Paraguay

CONCACAF Qualification;

USA 6 – 1 Saint Vincent

Guatemala 1 – 2 Trinadad and Tobago

Mexico 3 – 0 El Salvador

Costa Rica 1 – 0 Haiti

Jamaica 0 – 1 Panama

CAF Qualification;

Madagascar 2 – 2 Senegal

Comoros 0 – 0 Ghana

Kenya 1 – 0 Cape Verde

Libya 0 – 1 Rwanda

Angola 1 – 3 Afrika Kusini

Niger 0 – 3 Cameroon

Liberia 0 – 1 Ivory Coast

Mauritania 1 – 2 Tunisia

Swaziland 0 – 0 Nigeria

Ratiba...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast nje ya kombe la Dunia

Matumaini ya timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa raundi ya pili ilitibuka Ivory Coast ilipolazwa na Ugiriki

 

9 years ago

BBC

Bony pulls out of Ivory Coast squad

Wilfried Bony pulls out of the Ivory Coast squad for their Africa Cup of Nations qualifier against Sierra Leone because of a leg injury.

 

10 years ago

Mwananchi

KUFUZU AFCON 2015: Nigeria, Ivory Coast zakalia kuti kavu

>Timu za Nigeria na Ivory Coast zipo katika wakati mgumu wa kufuzu kushiriki Fainali za Mataifa (Afcon 2015) baada ya kuwa katika nafasi za chini katika makundi yao.

 

10 years ago

BBC

Wilfried Bony: Ivory Coast's history-making striker

Why trainee footballers want to bag Wilfried Bony's old bunk bed

 

9 years ago

BBC

Ivory Coast still 'counting on' Toure

Manchester City's Yaya Toure has been told the Ivory Coast is still "counting on him" and he should not quit international football.

 

10 years ago

BBC

Toure considering Ivory Coast future

Manchester City's Yaya Toure says he will decide about his international future with the Ivory Coast this week.

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast recall Toure and Zokora

Ivory Coast coach Herve Renard recalls veterans Kolo Toure and Didier Zokora for the final two Africa Cup of Nations qualifiers.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani