Novat Djokovic atwaa taji
Mserbia Novak Djokovic ameshinda taji la Wimbledon baada ya kumfunga mpinzani wake wa mara zote Roger Federer.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Novak Djokovic atwaa taji la Paris Masters
PARIS, UFARANSA
NYOTA wa mchezo wa tenisi nchini Serbia, Novak Djokovic, amefanikiwa kutwaa taji la michuano ya Paris Masters baada ya kumshinda mpinzani wake, Andy Murray, katika fainali iliyochezwa juzi jijini Paris, nchini Ufaransa.
Nyota huyo namba moja kwa ubora wa mchezo huo duniani, alimshinda mpinzani wake kwa seti 6-2, 6-4 na kufanikiwa kutwaa taji hilo na kumfanya azidi kuweka rekodi mbalimbali.
Djokovic amekuwa mchezaji wa kwanza kuweza kushinda mara sita kwa mwaka michuano ya ATP...
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Hamilton atwaa taji la tatu
9 years ago
Habarileo09 Nov
Samatta atwaa taji Afrika
MTANZANIA Mbwana Samatta jana aliisaidia timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutwaa taji lake la tano la Ligi ya Mabingwa wa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya USM Alger ya Algeria, katika mchezo wa pili wa fainali wa mashindano hayo.
11 years ago
GPLAMINA SALIM ATWAA TAJI LA MISS MBAGALA 2014
11 years ago
MichuziAMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA MISS TABATA 2014
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata
![pia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/pia-300x200.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlQix8gYlXT*181j-yqQkKAHdGTfSIqi1-f72rOWR-ppDQ5ET9ND8gslO24mjCQqkZtCL-2Xkz2FrOye8ZHhyQc7/breakingnews.gif)
SITTI MTEMVU ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Sitti Mtemvu atwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014
MREMBO Sitti Abbas Mtemvu kutoka Temeke, juzi usiku alitwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, baada ya kuibuka kidedea katika fainali za shindano hilo lililofanyika ukumbi wa Mlimani City, jijini...
11 years ago
Bongo511 Aug
Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014