Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBL ilivyoanza safari ya ‘Hwk Hamburg’ Tanzania

KATIKA kasi ya mabadiliko ya uchumi wa Tanzania, ujuzi wa kazi ni moja ya mahitaji makubwa, lakini cha kusikitisha ni kwamba kwa kiasi kikubwa ujuzi huu tunaupata kutoka nchi za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

PAPASO: MC Pilipili akielezea safari yake ya uchekeshaji ilivyoanza

Mchekeshaji wa Tanzania MC Pilipili wiki hii alikuwa mgeni wa kipindi cha Papaso kupitia TBC Fm. Amezungumzia safari yake ya uchekeshaji ilivyoanza na mengine mengi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TBL yaanika zawadi Safari Lager Pool Taifa

KAMPUNI ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager, jana ilitangaza rasmi zawadi za mashindano ya Pool ngazi ya Taifa ‘Safari Lager National Pool Compionship- 2014- Kilimanjaro.” Meneja wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI WAELEZEA WALIVYOWEZESHWA NA PROMOSHENI YA SAFARI LAGER WEZESHWA YA TBL

 Jacquline Shija Mazemle, aliyewezeshwa na TBL na kufanikiwa kuanzisha mghahawa maarufu wa FACEBOOK, ulioko karibu na Chuo Kikuu cha Kampala, Gongo la Mboto, Dar es Salaam. Akiandaa chakula na wenzake Ramadhan Seleman kushoto na Hans Shija
 Akiwahudumia na wateja wa Facebook
 Dorren Asey aliyewezeshwa na TBL kutengeneza mikate, keki na maandazi kupitia kampuni yake ya Dee Bakery,Doreen akiandaa mikate.HABARI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

WALIOWEZESHWA NA TBL KUPITIA PROMOSHENI YA SAFARI LAGER WEZESHWA WAPATA MAFANIKIO MAKUBWA

 Valerian Luzangi (kushoto) ambaye ni Mkurugenzi wa Kiwanda cha kuzalisha shampoo za binadamu na wanyama hasa mbwa cha L & V Intergrated Firm akimuonesha Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mushi,  shampoo  ambayo iko tayari kuuzwa. Tbl kupitia Promosheni ya Safari Lager Wezeshwa ilimpatia  mfanyabiashara huyo chupa 20,000 za kuwekea shampoo. Kiwanda hicho kipo Mikocheni Dar es Salaam. Valerian Luzangi (kulia) ambaye ni Mkurugenzi wa Kiwanda cha kuzalisha shampoo za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nadal atwaa ubingwa wa Hamburg

Nyota namba kumi kwa ubora wa mchezo wa tenesi duniani Rafael Nadal ametwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Hamburg

 

5 years ago

Michuzi

NAMNA BIASHARA YA UTUMWA ILIVYOANZA KWA KUUZA WAFUNGWA IRISH

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVBIASHARA ya utumwa nchini Irish ilianza kwa binadamu kuuzwa, wakati wa utawala wa Mfalme James wa pili aliruhusu kuuzwa kwa wafungwa 30,000 wakiwemo wanaume, wanawake na mabinti wadogo.
Katika miaka ya 1660 Irishi ilikua kitovu cha biashara ya utumwa na wengi wao waliuzwa katika maeneo ya Antigua na Montserrat na kwa wakati huo asilimia 70 ya watu Montserrat walikuwa watumwa kutoka Irish.
Irish imeandikwa katika historia kwa kuwa kitovu  cha biashara ya wanadamu...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI MARMO AFANYA ZIARA YA KIKAZI MJINI HAMBURG

Mhe. Philip S. Marmo,Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani (Kushoto) akiwa kwenye kikao na Mhe.Wolfgang Schmidt, Naibu Waziri anaye shughulikia masuala ya Umoja wa Ulaya na Mambo ya Nje wa jimbo la Hamburg. Mkutano huo ulifanyika siku ya tarehe 29 Septemba,2015 kwenye ofisi Mhe.Schmdit mjini Hamburg.Mhe.Balozi Marmo alikuwa mjini Hamburg kwa ziara ya kikazi.Mhe. Philip S. Marmo,Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani (wa kwanza kushoto) kwenye mazungumzo na Mhe.Vladimir Vladimirovich...

 

10 years ago

Michuzi

Kinondoni yasaini mkatana wa ushirikiano na jiji la Hamburg, kujengewa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani

Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam imetiliana saini  mkataba wa mashirikiano ya kusaidiana na jiji la Hamburg la Ujerumani. Mkataba huo umesainiwa leo na Mstahiki Meya wa Kinondoni Mhe. Yusuf Mwenda na State Secretary wa Hamburg, Bw. Wolfgang Schmidt, ambapo  kutajengwa mtambo wa kisasa wa kuchakata taka za ugani na kuzalishwa mbolea eneo la Mabwepande wenye thamani ya shilingi za kitanzania ni bilioni 3.5 ambazo zitatolewa na jiji la Hamburg.Mstahiki Meya alisema ukishajengwa mtambo...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAWA KINARA ULIPAJI KODI TANZANIA

Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, akikabidhi Kombe la mshindi wa Meneja wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Alois Qande, wakati wa maadhimisho ya nane ya mlipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, Dar es Salaam hivi karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani