Picha: Lewis Hamilton anyakua ubingwa wa dunia wa mbio za magari za Formula One
Dereva wa Uingereza, Lewis Hamilton ameibuka mshindi wa mbio za magari wa dunia, Formula One – Abu Dhabi Grand Prix. Hamilton akishangilia ushindi “Hii ni siku kubwa zaidi katika maisha yangu,” alisema dereva huyo mwenye miaka 29 aliyeendesha gari ya Mercedes Benz. Huo ni ushindi wa mara ya pili wa taji hilo baada ya mwaka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Mar
Bingwa wa mashindano ya magari ya Formula One Lewis Hamilton kuingia kwenye muziki
Bingwa wa mashindano ya magari ya Formula One, Lewis Hamilton anatarajia kukitambulisha kipaji chake cha muziki. Dereva huyo mwenye umri wa miaka 30 yupo kwenye mazungumzo na Jay Z ili muziki wake usimamiwe na Roc Nation, kwa mujibu wa The Sun. Chanzo kimeliambia The Sun kuwa Lewis yupo kwenye mazungumzo na wasanii wengine pia. Kwa […]
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Apiga picha katikati ya mbio za magari
Kijana raia wa Uingereza ambaye aliingia katika njia ya magari yakiwa kasi Mahakama ya Singapore imemtupa jela wiki sita jela.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Lewis Hamilton ajifagilia
Bingwa wa dunia wa mbio za magari za langalanga wa timu ya Mercedes Lewis Hamilton amesema kiakili anamzidi Nico Rosberg.
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Lewis Hamilton aibuka kidedea
Lewis Hamilton ameshinda mbio za Abu Dhabi Grand Prix,na kumfanya dreva huyo wa Formula One kuwa mshindi kwa mara ya pili.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Lewis Hamilton ashinda taji la Japan GP
Dereva wa magari yaendayo kasi Lewis Hamilton ameshinda michuano ya Suzuki na kutwaa taji la 41 katika mchezo huo
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Lewis Hamilton ashinda langalanga Japan
Lewis Hamilton amejitetea baada ya kumpiku Nico Rosberg kwenye kona hatari katika mbio za magari ya langalanga ya Japan.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Lewis Hamilton kuongeza mkataba mpya?
Timu ya magari yaendayo kasi ya Mercedes ina matumaini ya kumuongezea mkataba dereva wake Lewis Hamilton.
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Lewis Hamilton kinara tuzo za BBC
Lewis Hamiliton dereva wa timu ya Mercedes, ameibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya BBC ya mwanamichezo bora.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania