Apiga picha katikati ya mbio za magari
Kijana raia wa Uingereza ambaye aliingia katika njia ya magari yakiwa kasi Mahakama ya Singapore imemtupa jela wiki sita jela.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Nov
Picha: Lewis Hamilton anyakua ubingwa wa dunia wa mbio za magari za Formula One
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-5YwiIyenR*WXZt1Qemr7osUu0XA7AcC2aFYUpapmoZ*F1V3Tx9ABaP9v1o6tRxa1npz-Uf6q55*CwFtVAkq8wzp-mriiom2/Recho.jpg?width=650)
RECHO APIGA MWEREKA KATIKATI YA SHEREHE
11 years ago
Habarileo22 May
Mbunge- Magari yanayoingia katikati Dar yatozwe
MBUNGE wa Ilala, Iddi Zungu (CCM), ametaka magari yanayoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kutozwa fedha ili kudhibiti msongamano wa magari katika jiji hilo na kuepuka watu wenye magari wanaoingia bila kuwa na kazi maalumu.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s72-c/IMG_1080.jpg)
tukio la kihistoria, JK apiga picha na ma-bloggers, mpiga picha ni kinana
![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s1600/IMG_1080.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ZSTNFVic7w/Uu_q1ViZuZI/AAAAAAAFKtk/_Mrav64BmG4/s1600/IMG_1084.jpg)
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Khloe Kardashian naye apiga picha ya utupu kwenye cover la kitabu chake ‘Strong Looks Better Naked’ (18+)
9 years ago
VijimamboPICHA: JUST PICHA: MWANA DIASPORA NA MBIO ZA UBUNGE: WANAMWITA RAIS WA MBARALI
9 years ago
VijimamboPICHA: JUST PICHA: KIJANA KUTOKA DIASPORA, LIBERATUS MWANG'OMBE AENDELEA KUCHANJA MBUGA MBIO ZA UBUNGE
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mtunga sheria Tanzania. Msaada wa fedha anaomba utumwe kupitia;
M-PESA- WAVE App number +255 752 494 409
Au, wasiliana na: Rehema Sarmet 301 367 9711Lukresia 240 593 5973Jabil 240 604 0574
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Dar watamba mbio za magari zilizofanyika Arusha
Mwendesha magari Randeep Shingh kutoka jijini Dar es Salam ameibuka mshindi katika mashindano ya kila mwaka ya mbio za nyika za magari nane-nane rally yaliyotimua vumbi katika mji wa Arusha mwishoni mwa wiki.
Mashindano hayo yamefanykia kwa siku mbili mfululizo huku yakishuhudiwa ushindani mkali kwa madereva hao waliotoka mikoa mbalimbali na Randeep Shingh akiwa na msoma ramani Guvinder Singh wa gari ya Mitsubishi lancer akiibuka mshindi...
10 years ago
Bongo512 Dec
Picha: Mwana FA ageuka mchora hina katikati ya jiji la Nairobi!