Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Apiga picha katikati ya mbio za magari

Kijana raia wa Uingereza ambaye aliingia katika njia ya magari yakiwa kasi Mahakama ya Singapore imemtupa jela wiki sita jela.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Lewis Hamilton anyakua ubingwa wa dunia wa mbio za magari za Formula One

Dereva wa Uingereza, Lewis Hamilton ameibuka mshindi wa mbio za magari wa dunia, Formula One – Abu Dhabi Grand Prix. Hamilton akishangilia ushindi “Hii ni siku kubwa zaidi katika maisha yangu,” alisema dereva huyo mwenye miaka 29 aliyeendesha gari ya Mercedes Benz. Huo ni ushindi wa mara ya pili wa taji hilo baada ya mwaka […]

 

10 years ago

GPL

RECHO APIGA MWEREKA KATIKATI YA SHEREHE

Musa Mateja
MREMBO kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho’, amepiga mwereka wa aina yake baada ya kuteleza ukumbini, Risasi Jumamosi limeshuhudia. Tukio hilo lilijiri juzikati katika Hoteli ya Regence, Mikocheni jijini Dar ambapo mrembo huyo alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa (bethidei). Mrembo kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho’. Wakati...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge- Magari yanayoingia katikati Dar yatozwe

MBUNGE wa Ilala, Iddi Zungu (CCM), ametaka magari yanayoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kutozwa fedha ili kudhibiti msongamano wa magari katika jiji hilo na kuepuka watu wenye magari wanaoingia bila kuwa na kazi maalumu.

 

11 years ago

Michuzi

tukio la kihistoria, JK apiga picha na ma-bloggers, mpiga picha ni kinana

 Mwenyekiti wa wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya pamoja na ma-bloggers wakubwa wa Tanzania wakati wa kiadhimisha sherehe za miaka 37 za uhai wa CCM uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Picha hii imepigwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana hapo chini...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Khloe Kardashian naye apiga picha ya utupu kwenye cover la kitabu chake ‘Strong Looks Better Naked’ (18+)

Picha za utupu kwaajili ya majarida imekuwa ni kama fashion kwa mastaa wengi wa Marakeni, ambao hawaoni shida kupose utupu mbele ya camera na picha hizo kuja kuonwa na ulimwengu mzima. Style ya picha za bila nguo pia imeendelea kutawala kwenye familia ya The Kardashians. Mdogo wake na Kim Kardashian, Khloe anakuja na kitabu chake […]

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: JUST PICHA: MWANA DIASPORA NA MBIO ZA UBUNGE: WANAMWITA RAIS WA MBARALI

Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" aliye wahi kuishi Maryland, DC na Virginia (DMV) amekuwa akivunja rekodi kwenye historia za mbio za ubunge jimbo la Mbarali kwa kukusanya vijana na watu wa rika mbalimbali wengi kuliko ilivyo wahi tokea jimboni Mbarali. 


 Juu na chini: Libe katika ubora wake

 Juu na chini: George Tito aka Mbu Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Mbeya akimnadi Mh. Mwang'ombe




 Mh. Mwang'ombe akikabidhi kadi ya CHADEMA barabarani 
Mh. Mwang'ombe amekuwa akisimamishwa barabarani watu wakitaka...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: JUST PICHA: KIJANA KUTOKA DIASPORA, LIBERATUS MWANG'OMBE AENDELEA KUCHANJA MBUGA MBIO ZA UBUNGE






Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mtunga sheria Tanzania. Msaada wa fedha anaomba utumwe kupitia;

M-PESA- WAVE App number +255 752 494 409
Au, wasiliana na: Rehema Sarmet 301 367 9711Lukresia  240 593 5973Jabil  240 604 0574 





 

10 years ago

Dewji Blog

Dar watamba mbio za magari zilizofanyika Arusha

Na Woinde Shizza, libeneke la kaskazini  blog

Mwendesha magari Randeep Shingh kutoka jijini Dar es Salam ameibuka mshindi katika mashindano  ya kila mwaka ya  mbio za nyika za magari  nane-nane rally yaliyotimua vumbi katika mji wa Arusha  mwishoni mwa wiki.

Mashindano hayo yamefanykia kwa siku mbili mfululizo huku yakishuhudiwa ushindani mkali kwa madereva hao waliotoka mikoa mbalimbali na Randeep Shingh akiwa na msoma ramani Guvinder Singh wa gari ya Mitsubishi lancer akiibuka mshindi...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mwana FA ageuka mchora hina katikati ya jiji la Nairobi!

Anatokea Tanga kule mapenzi yalikozaliwa, hivyo usishangae kama Hamis Mwinjuma aka Mwana FA akamchora msichana hina na akapendeza! Hata hivyo hiyo ni kazi aliyoifanya mara moja tu tena kwenye moja ya scene ya video ya ‘Kiboko Yangu’ anayoshoot na Ali Kiba aliyemshirikisha kwenye wimbo huo, jijini Nairobi. Binamu aka The Choir Master, amepost picha Instagram […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani