Picha: Mwana FA ageuka mchora hina katikati ya jiji la Nairobi!
Anatokea Tanga kule mapenzi yalikozaliwa, hivyo usishangae kama Hamis Mwinjuma aka Mwana FA akamchora msichana hina na akapendeza! Hata hivyo hiyo ni kazi aliyoifanya mara moja tu tena kwenye moja ya scene ya video ya ‘Kiboko Yangu’ anayoshoot na Ali Kiba aliyemshirikisha kwenye wimbo huo, jijini Nairobi. Binamu aka The Choir Master, amepost picha Instagram […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u1kfEQfiY5Q/U57ggeze-2I/AAAAAAAFrAM/oRHMu_E54Gs/s72-c/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s72-c/DSCF6085.jpg)
MNARA WA SAA KATIKATI YA JIJI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s1600/DSCF6085.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VEptO64JEM0/VQhz8q3zFRI/AAAAAAAAq2s/0KwZRHkwEfg/s1600/DSCF6085M.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Machinga wang’ang’ania katikati ya jiji
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo ‘machinga’ wameendelea kufanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam huku wakisema maeneo wanayopewa na serikali si rafiki kwa biashara. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Bodaboda watakaofika katikati ya jiji kunyang’anywa leseni
WAENDESHA bodaboda na 'bajaji'ambao watakiuka agizo la kutoingia katika Eneo la Katikati ya Jiji (CBD), watanyang'anywa leseni zao za biashara, kwa kukiuka sheria. Hayo yameelezwa na Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya baadhi ya madereva wanaokiuka agizo hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eBRjXOiKulo/VUuWwJvLWVI/AAAAAAAHWKw/IBamjaB6RcI/s72-c/DSCF2387.jpg)
FOLENI YANOGA MAENEO YA KATIKATI YA JIJI LA DAR HII LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-eBRjXOiKulo/VUuWwJvLWVI/AAAAAAAHWKw/IBamjaB6RcI/s1600/DSCF2387.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-skeiykNRIs8/VUuWxj6dC0I/AAAAAAAHWLA/ciKGUS1M0Vs/s640/DSCF2402.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bsEJgQFImOI/VUuWx5wnHOI/AAAAAAAHWLE/nrBkGJcalL0/s640/DSCF2408.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kXHFGLjFp0Q/VUuWvA5TuRI/AAAAAAAHWKo/R21bcLnihR0/s640/DSCF2384.jpg)
Mzee wa Feva kaamua kukaa kando, maana hakuna hata anaetaka kumsikiliza.
![](http://3.bp.blogspot.com/-FPxDG_yoLS0/VUuWx1WdAaI/AAAAAAAHWLI/cIREEpj2BOA/s640/DSCF2455.jpg)
10 years ago
GPLMAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, YATIWA MBARONI
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2n1dS650TD8/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Kunguru chanzo cha moto jengo la Consolidated Investments Ltd katikati ya jiji
Hii ni sehemu ambayo inaonyesha moto ulipoanzia, baada ya Kunguru kukanyaga nyaya za umeme zilizopelekea shoti.
Na Andrew Chale, modewjiblog
INAELEZWA kuwa moto mkubwa uliozuka na kuteketeza mapema leo jengo la ghorofa mbili Consolidated Investments Ltd ambalo ni mali ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Plot namba 1809/88 katika makutano ya Mtaa wa Mosque na Libya katikati ya jiji la Dar es Salaam, ni kufuatia Kunguru kugusa nyaya za umeme uliokuwa unaingia kwenye jengo hilo.
Mtandao wa...
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
Majambazi yatikisa katikati ya jiji la Dar leo mchana yatiwa mbaroni
Picha ya 1-2 ni mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne.
Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.
Watuhumiwa hao wanne wa ujambazi wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi.
Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10