Kunguru chanzo cha moto jengo la Consolidated Investments Ltd katikati ya jiji
Hii ni sehemu ambayo inaonyesha moto ulipoanzia, baada ya Kunguru kukanyaga nyaya za umeme zilizopelekea shoti.
Na Andrew Chale, modewjiblog
INAELEZWA kuwa moto mkubwa uliozuka na kuteketeza mapema leo jengo la ghorofa mbili Consolidated Investments Ltd ambalo ni mali ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Plot namba 1809/88 katika makutano ya Mtaa wa Mosque na Libya katikati ya jiji la Dar es Salaam, ni kufuatia Kunguru kugusa nyaya za umeme uliokuwa unaingia kwenye jengo hilo.
Mtandao wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2n1dS650TD8/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2BKxzNj8DBE/U6BLgHhptFI/AAAAAAAFrRk/zxNNm_QJTKo/s72-c/unnamed+(56).jpg)
KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHAIBUKA KATIKATI YA JIJI LA DAR, UFUNGUZI RASMI JUMAMOSI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2BKxzNj8DBE/U6BLgHhptFI/AAAAAAAFrRk/zxNNm_QJTKo/s1600/unnamed+(56).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fi8JaCfKDHs/VL_GqSbYNxI/AAAAAAAG-wQ/cVS8-e7_MWI/s72-c/unnamed.png)
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Wachunguzi watafuta chanzo cha moto Dubai
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0049.jpg)
DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0049.jpg)
Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0046.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0043.jpg)
Afisa elimu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s72-c/DSCF6085.jpg)
MNARA WA SAA KATIKATI YA JIJI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s1600/DSCF6085.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VEptO64JEM0/VQhz8q3zFRI/AAAAAAAAq2s/0KwZRHkwEfg/s1600/DSCF6085M.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u1kfEQfiY5Q/U57ggeze-2I/AAAAAAAFrAM/oRHMu_E54Gs/s72-c/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Machinga wang’ang’ania katikati ya jiji
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo ‘machinga’ wameendelea kufanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam huku wakisema maeneo wanayopewa na serikali si rafiki kwa biashara. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, walisema...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Bodaboda watakaofika katikati ya jiji kunyang’anywa leseni
WAENDESHA bodaboda na 'bajaji'ambao watakiuka agizo la kutoingia katika Eneo la Katikati ya Jiji (CBD), watanyang'anywa leseni zao za biashara, kwa kukiuka sheria. Hayo yameelezwa na Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya baadhi ya madereva wanaokiuka agizo hilo.