Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUMBA TATU ZAUNGUA MOTO KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, YATIWA MBARONI

Mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni jijini Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne. Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa. Watuhumiwa hao wanne…

 

10 years ago

Vijimambo

MAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO MCHANA YATIWA MBARONI

 Picha ya 1-2 ni mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanne. Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.
 Watuhumiwa hao wanne wa  ujambazi  wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi. Kulia ni askari Polisi. Askari kanzu (katikati), ndiye anadaiwa kuwadhibiti...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu watano wanusurika katika ajali ya gari katikati ya jiji la Dar es Salaam muda huu!

DSC_4332

Pichani ni min bus iliyokuwa na namba T 111 AAL, ikionekana  imeharibika kwa mbele baada ya kugongana na gari aina ya Noah yenye namba  T446DDJ iliyogongwa ubavuni. Min Bus ilikuwa na watu wanne  hata hivyo katika ajali hiyo watu hao walipatwa na mishtuko pekee na maumivu kiasi. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).

DSC_4357

Gari aina ya Noah linavyoonekana ubavuni baada ya ajari hiyo.. iliyotokea  katikati ya jiji katika eneo la jirani na Bnki ya NMB  House na Shirika la Bima ya Taifa la Afya..

DSC_4349

 

11 years ago

Michuzi

MABADILIKO YA UELEKEO WA BARABARA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA SIKU YA TAREHE 28/04/2014. TRAFFIC CIRCULATION AT CBD

Key: 1. RANGI YA NJANO - Njia ya Uelekeo Mmoja {One Way}.
 2. RANGI YA BLUE MPAUKO - Njia ya Mielekeo Miwili {Two Way} 
 3. RANGI YA KIJANI - Mitaa ya Kutembea kwa Miguu Magari marufuku {Walking Streets} 
 4. RANGI NYEKUNDU - Barabara za kupita Daladala
 5. RANGI YA BLUU ILIYOIVA - Barabara za DART
 6. DUARA ZA NJANO - Mzunguuko {Roundabout} 
 7. MSALABA WA KIJANI - Makutano yenye Taa za kuongozea Magari {Singnalized Intersection}
1. Kipande cha Mtaa wa Samora kuanzia Mnara wa Askari (Askari...

 

10 years ago

Michuzi

GREEN WASTE PRO ltd WAENDESHA KAMPENI YA WIKI TATU YA KUFANYA USAFI KATIKATI YA JIJI

DSC_0355
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd. wadau na wananchi wakijipanga tayari kuanza kampeni ya wiki tatu ya kusafisha maeneo mbalimbali ya katikati ya jiji iliyozinduliwa rasmi na Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi ikiwa ni awamu ya kwanza kwa mwaka huu kabla ya kuelekea kwenye kata nyingine mbili zilimo ndani ya manispaa ya Ilala wakishirikiana na wananchi.
Na Mwandishi wetuWILAYA ya Ilala imeanzisha kampeni ya wiki tatu ya usafi katika maeneo yaliyopo katikati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kunguru chanzo cha moto jengo la Consolidated Investments Ltd katikati ya jiji

IMG-20150210-WA0082

Hii ni sehemu ambayo inaonyesha moto ulipoanzia, baada ya Kunguru kukanyaga nyaya za umeme zilizopelekea shoti.

Na Andrew Chale, modewjiblog

INAELEZWA kuwa moto mkubwa uliozuka na kuteketeza  mapema leo  jengo la ghorofa mbili Consolidated Investments Ltd ambalo ni mali ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Plot namba 1809/88 katika makutano ya Mtaa wa Mosque  na Libya katikati ya jiji la Dar es Salaam, ni kufuatia Kunguru kugusa nyaya za umeme uliokuwa unaingia kwenye jengo hilo.

Mtandao wa...

 

10 years ago

Michuzi

MNARA WA SAA KATIKATI YA JIJI LA DAR

 Huu ni moja kati ya Minara ya awali kabisa hapa jijini Dar es salaam.Mwenye kujua zaidi juu ya hisroria ya mnara huu atumwagie vitu hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani