MAREKNI WAANDAMANA
Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'.
Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.
Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog22 Feb
WAJERUMANI WAANDAMANA
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Wanafunzi Stemuco waandamana
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMUCO) mkoani Mtwara, wameandamana juzi wakidai kutolipwa posho za malazi na chakula na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu kwa miezi mitatu...
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Mamilioni waandamana Brazil
10 years ago
GPLWAKAZI WA KUNDUCHI WAANDAMANA
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanafunzi DIT waandamana
WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) leo wameandamana kwenda Wizara ya Sayansi na Teknolojia wakidai hawajaridhishwa na uamuzi wa uongozi wa chuo kuwazuia wanafunzi 684 kufanya mtihani.
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Wakulima wa mahindi waandamana
WAKULIMA wa mahindi wilayani hapa, Mkoa wa Mbeya wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Wilaya ili kujua hatma ya ununuzi wa mahindi yao. Wakizungumza na Tanzania Daima, wakulima hao walisema...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Wanawake waandamana Uganda
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Chadema waandamana vichochoroni
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Walimu Mbeya waandamana