Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA KUNDUCHI WAANDAMANA

Wakazi wa Kunduchi Dar leo wameandamana kwenda kituo cha polisi Wazo wakidai kukamatwa kimakosa ndugu zao kwa uhuni na uvutaji wa bangi.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUNDUCHI WAANDAMANA KWENDA POLISI

Picha za waandamanaji wakielekea kituo cha polisi. KAMERA ya GPL imewashuhudia wakazi wa Kunduchi jijini Dar es Salaam, wakiandamana kuelekea vituo vya Polisi vya Wazo na Mtongani, baada ya kudai kuwa ndugu zao wamekamatwa wakiwa hawana makosa na kupelekwa kituoni. Wakizungumza na GPL baadhi ya waandamanaji walisema difenda tano za Polisi zilikwenda eneo hilo na kuanza kukamata watu ovyo kwa madai kuwa ni wahuni na wavuta...

 

9 years ago

StarTV

 Wakazi Nyarugusu Geita waandamana kwa madai ya kifo cha mjamzito

 

 

Wakazi wa Kijiji cha Nyarugusu wilayani Geita wameandamana hadi katika Zahanati ya kijijini hapo kwa madai ya Nesi kuhusika kusababisha kifo cha mama mjamzito aliyekosa huduma kwa uzembe wa nesi wa zamu.

Inadaiwa kuwa Novemba 18 Marehemu Kabula George alifikishwa katika Zahanati ya Nyarugusu ambapo alipokelewa na Nesi wa Zamu majira ya saa tano usiku.

Nesi huyo alimhudumia na kumwambia asubiri baada ya saa nne na nesi huyo aliondoka na kwenda kulala ambapo Kabula alizidiwa na uchungu...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YAINGIA KAMBINI KUNDUCHI

Kikosi cha Young Africans Sports Club
Kuelekea kwenye mpambano wa watani wa jadi YANGA Vs SIMBA siku ya jumamosi Oktoba 18, kikosi cha timu ya Young Africans kimeingia kambini leo mchana katika hoteli ya Landmark iliyopo eneo la Kunduchi kujiandaa na mchezo huo ambao umeteka hisia za wapenzi wa soka nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.Kocha mkuu Marcio Maximo ameingia kambini na kikosi cha wachezaji 28 kujiandaa na mchezo huo ambapo kikosi chake kitakua kikifanya mazoezi...

 

9 years ago

GPL

KAKA WA GONDWE KUWAGWA KUNDUCHI KESHO, DAR

Marehemu Geofrey Boardington Gondwe  Ndg.Robert Gondwe wa Dar es Salaam, anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake Geofrey Boardington Gondwe kilichotokea jana(25.08.2015).Ataangwa kesho(27.08.2015) kwake Kunduchi saa 6 mchana na Mazishi yatafanyika makaburi ya kinondoni saa kumi jioni.

 

9 years ago

Michuzi

Diwani Urio akabidhiwa hati ya uteule kata ya Kunduchi.

Msimizi Msaidizi wa uchaguzi kata ya Kunduchi, Ramadhani Masenza akimkabidhi hati ya utambulisho Diwani Mteule wa kata hiyo kwa tiketi ya CCM, Michael Urio wakati wa hafla ya utambulisho na makabidhiasno iliyofanyika Dar es Salam jana. Diwani Mteule wa Kata ya Kunduchi kwa tiketi ya CCM Michael Urio akiwapungia wafuasi wa chama hicho mara baada ya kukabidhiwa hati ya Utambulisho kutoka kwa ofisi ya Mtendaji kunduchi Dar es Salaam jana.Picha na Mpiga picha wetu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la NHC Family Day lafanyika Kunduchi Beach Hotel

????????????????????????????????????

Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.

????????????????????????????????????

Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.

????????????????????????????????????

Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Naibu Mwanasheria wa Serikali afungua mafunzo ya haki za binadamu Kunduchi

DSC_2301

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. George Masaju akitoa hotuba yake kufungua rasmi warsha ya siku tano ya mafunzo ya haki za binadamu kwa maafisa kutoka Taasisi 11 za kitaifa za haki za binadamu za nchi za Afrika Kunduchi Beach Resort mapema jana.

DSC_2300

Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku tano ya mafunzo kuhusu masuala ya haki za binadamu wakifuatilia hotuba ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. George Masaju (hayupo pichani) iliyotolewa jana Kunduchi Beach Resort. Mafunzo hayo...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Mwanasheria wa Serikali afungua mafunzo ya haki za binadamu Kunduchi leo

Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku tano ya mafunzo kuhusu masuala ya haki za binadamu wakifuatilia hotuba ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. George Masaju (hayupo pichani) iliyotolewa leo Kunduchi Beach Resort. Mafunzo hayo yameandaliwa na Umoja wa Taasisi za Kitaifa za Haki za Binadamu Afrika (NANHRI) kwa kushirikiana na Taasisi ya mafunzo ya haki za binadamu na Sheria za ki-utu ya Raoul Wallenberg (RWI) ya Sweden na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG) kwa ufadhili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani