Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani Urio akabidhiwa hati ya uteule kata ya Kunduchi.

Msimizi Msaidizi wa uchaguzi kata ya Kunduchi, Ramadhani Masenza akimkabidhi hati ya utambulisho Diwani Mteule wa kata hiyo kwa tiketi ya CCM, Michael Urio wakati wa hafla ya utambulisho na makabidhiasno iliyofanyika Dar es Salam jana. Diwani Mteule wa Kata ya Kunduchi kwa tiketi ya CCM Michael Urio akiwapungia wafuasi wa chama hicho mara baada ya kukabidhiwa hati ya Utambulisho kutoka kwa ofisi ya Mtendaji kunduchi Dar es Salaam jana.Picha na Mpiga picha wetu.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Diwani Mathius wa kata ya Malangarini afunga kampeni za uchaguzi kwenye kata yake

20141212_150512

Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili yakuwachagua viongozi wa  serikali za  mitaa utakaofanyika jumapili Desemba 14 mwaka huu.

Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.  

Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi chote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Magufuli akabidhiwa hati ya ushindi nafasi ya Urais

1

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva (kulia), akimkabidhi cheti cha Urais Rais Mteule wa Tanzania Dk.John Magufuli katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam jana. Kushoto ni Makamu wa Rais Mteule, Samia Hassan Suluhu.

2

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva (kulia), akimkabidhi cheti cha Makamu wa Rais, Samia Hassan Suluhu katika hafla hiyo.

Na Anitha Jonas na Beatrice Lyimo- MAELEZO.

Watanzania...

 

11 years ago

Michuzi

GODFREY MGIMWA AKABIDHIWA HATI YAKE YA KUWA MBUNGE

 mshindi wa jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa akiwa na mke wake Robby Mgimwa wakifurahia hati aliyokabidhiwa ya kuwa mbunge.  Godfrey Mgimwa akiwa anafurahia ushindi katikati Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iringa vijiji mama Mtavilalo.

 

9 years ago

Habarileo

Kata ya Ipala Dodoma yapata Diwani

GEORGE Magawa jana alitangazwa kuwa Diwani wa Kata ya Ipala katika wilaya ya Dodoma Mjini baada ya kupita bila kupingwa kutokana na wagombea wawili wa nafasi hiyo kujitoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani apinga ongezeko la mitaa, kata

DIWANI wa Misufini katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Ruvuma, Salum Mfamaji (CHADEMA), amesema kuongezwa kwa mitaa katika manispaa hiyo ni kuibebesha mzigo serikali na wananchi. Mfamaji alisema hayo wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Diwani Kata ya Ubungo kizimbani kwa kujeruhi

Diwani wa kata ya Ubungo anayemaliza muda wake, Boniface Jacob leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam akituhumiwa kumpiga na kumjeruhi mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru, Christopher Lisso.

 

5 years ago

Michuzi

CCM Njombe wamnasa Diwani wa kata ya MjiMwema

Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe, kimefanikiwa kumnasa na kumkabidhi kadi ya uanachama aliyekuwa diwani wa kata ya Mjimwema mjini Njombe kupitia tiketi ya CHADEMA Abuu Mtamike huku kikikiri kuwa amewasumbua kwa muda mrefu kama alivyowasumbua aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoa Fakii Lulandala. Katika kikao cha kumpokea diwani huyo viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi na serikali wamesema bwana Mtamike sasa ameutambua ukweli juu ya kazi kubwa...

 

5 years ago

Michuzi

DC IKUNGI AONGOZA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA KITUNTU SINGIDA


 Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa diwani mwenzao wa Kata ya Kituntu, Saidi Tumbwi wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo hii.  Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akitoa salamu za rambirambi wakati wa mazishi hayo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Ally Mwanga akizungumza kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani