Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake waandamana Uganda

Kundi la wanawake nchini Uganda wanaopinga kuvuliwa nguo kwa mwenzao,limefanya maandamano na kujaribu kuelekea bungeni ili kuwasilisha hoja yao dhidi ya ukatili wa maafisa wa polisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WANAWAKE NCHINI UGANDA WAANDAMANA WAKIWA UCHI

Wanawake wa jamii ya Ancholi 'wakigalagala' chini huku wakiwa uchi kama ishara ya kumlaani adui....Wakiendelea na maandamano huku wakiwa uchi.Maandamano yakipamba moto.Magdalena Alum, mkazi wa eneo hilo.Karamela Anek, akisema wataendelea na maandamano kutetea haki yao.John Makombo ambaye ni Mkurugenzi wa mamlaka ya wanyamapori nchini Uganda (UWA).
Jamii ya Apaa walisema, ikiwa mgogoro huo utaendelea, zaidi ya watu 21,000 watakumbwa na madhara ya mgogoro huo.Sehemu ya eneo lililo katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana wakiwa uchi Uganda

Wanawake katika kijiji kimoja cha kazkazini mwa Uganda wamefanya maandamano wakiwa uchi kutokana na mgogoro wa ardhi kati ya utawala wa eneo hilo na jamii

 

10 years ago

BBCSwahili

Agentina waandamana kutetea wanawake

Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Argentina , Buenos Aires kupinga mateso dhidi ya mwanamke

 

10 years ago

Vijimambo

Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.

Mwandishi wa habari aliyepigwa na kujeruhuwa akiwa kazini amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Msambia, nchini humo. Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.
 Moja ya story zilizochukua headlines kutoka Uganda leo January 13, ni ile inayohusu Waandishi wa habari nchini humo kuandamana baada ya Afisa wa Polisi Joram Mwesije, kumpiga mwandishi Adrew Lwanga, na baadae akakutana na Ispekta wa Polisi na kukiri makosa yake,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kuna umuhimu gani kwa wanawake wa Uganda kupiga magoti wakisalimia na kukaribisha chakula

Nchini Uganda, wanawake wa jamii ya Buganda na huwa wana utaratibu wa kupiga magoti wakati wanapoandalia watu chakula na wanaposalimia

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?

Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKNI WAANDAMANA

Waandamanaji nchini Marekani wameingia mitaani katika majimbo kadhaa wakishinikiza magavana kufungua uchumi wa majimbo yao kwa kuondosha amri ya kutokutoka nje ama 'lockdown'.

Marufuku hiyo ya kutokutoka nje imewekwa katika majombo yote ya Marekani ili kudhibiti kusambaa kwa janga la virusi vya corona, hali iliyotikisa uchumi wa taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani.

Maaandamano yameripotiwa jana Jumapili katika majimbo ya Arizona, Colorado, Montana na Washington, huku mwendelezo wa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAJERUMANI WAANDAMANA

    Wajerumani waandamana kupinga mashambulizi ya kibaguzi ya Hanau, ulinzi wazidishwa kwenye misikitiMaelfu ya Wajerumani wamefanya maandamano katika miji kadhaa ya nchi hiyo wakilaani mashambulizi ya kibaguzi yaliyotokea katika eneo la Hanau lililoko karibu ya mji wa Frankfurt.Maandamano hayo ya kupinga ubaguzi yamefanyika katika zaidi ya miji 50 ya Ujerumani ambako waandamanaji wamelaani vikali mashambulizi yaliyofanywa na raia mmoja wa nchi hiyo aliyekuwa na misimamo ya kufurutu ada na ya kibaguzi katika mji wa Hanau. Wakati huo huo serikali ya Ujerumani imezidisha ulinzi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani