Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandamana wakiwa uchi Uganda

Wanawake katika kijiji kimoja cha kazkazini mwa Uganda wamefanya maandamano wakiwa uchi kutokana na mgogoro wa ardhi kati ya utawala wa eneo hilo na jamii

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WANAWAKE NCHINI UGANDA WAANDAMANA WAKIWA UCHI

Wanawake wa jamii ya Ancholi 'wakigalagala' chini huku wakiwa uchi kama ishara ya kumlaani adui....Wakiendelea na maandamano huku wakiwa uchi.Maandamano yakipamba moto.Magdalena Alum, mkazi wa eneo hilo.Karamela Anek, akisema wataendelea na maandamano kutetea haki yao.John Makombo ambaye ni Mkurugenzi wa mamlaka ya wanyamapori nchini Uganda (UWA).
Jamii ya Apaa walisema, ikiwa mgogoro huo utaendelea, zaidi ya watu 21,000 watakumbwa na madhara ya mgogoro huo.Sehemu ya eneo lililo katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandamana wakiwa wamejihami Somaliland

Waandamanaji hao wanapinga hatua ya rais Ahmed Silanyo ya kukabidhi bohari ya kuhifadhi mafuta ya Berbera, mikononi mwa kikundi cha wafanyibiashara

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake waandamana Uganda

Kundi la wanawake nchini Uganda wanaopinga kuvuliwa nguo kwa mwenzao,limefanya maandamano na kujaribu kuelekea bungeni ili kuwasilisha hoja yao dhidi ya ukatili wa maafisa wa polisi.

 

10 years ago

Vijimambo

Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.

Mwandishi wa habari aliyepigwa na kujeruhuwa akiwa kazini amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Msambia, nchini humo. Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.
 Moja ya story zilizochukua headlines kutoka Uganda leo January 13, ni ile inayohusu Waandishi wa habari nchini humo kuandamana baada ya Afisa wa Polisi Joram Mwesije, kumpiga mwandishi Adrew Lwanga, na baadae akakutana na Ispekta wa Polisi na kukiri makosa yake,...

 

10 years ago

Habarileo

Wakutwa uchi wanalima

POLISI mkoani Simiyu inawashikilia watu wanne wa familia moja kwa tuhuma za kukutwa wakilima katika shamba la familia yao, huku wakiwa watupu kama walivyozaliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Twitter kutochapisha picha za uchi

Kampuni ya Twitter imeweka Sheria mpya ya kupambana na watumiaji mtandao huo wanaoweka picha za uchi kulipiza kisasi

 

11 years ago

BBCSwahili

Instagram yafuta picha za Uchi

Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, ameambia BBC kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimbagui mtu yeyote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani