Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.
Mwandishi wa habari aliyepigwa na kujeruhuwa akiwa kazini amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Msambia, nchini humo. Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.
Moja ya story zilizochukua headlines kutoka Uganda leo January 13, ni ile inayohusu Waandishi wa habari nchini humo kuandamana baada ya Afisa wa Polisi Joram Mwesije, kumpiga mwandishi Adrew Lwanga, na baadae akakutana na Ispekta wa Polisi na kukiri makosa yake,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LRaX5r1am2w/XnnlmtwERvI/AAAAAAALk4U/5Je-dZSJmkUYaEAaTpKU7CZkmqvC8O8xwCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
JET ILIVYODHAMIRIA KUWEKA MKAKATI WAKE WA KUENDELEA KUWAONOA WAANDISHI WA HABARI ZA MAZINGIRA NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LRaX5r1am2w/XnnlmtwERvI/AAAAAAALk4U/5Je-dZSJmkUYaEAaTpKU7CZkmqvC8O8xwCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa JET John Chikomo(kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya JET Dk.Ellen Utaru Okoedion wakijadilana jambo wakati wa mafunzo hayo.
:Mwandishi Sidi Mgumia akitoa uzoefu wake katika masuala ya uandishi wa habari za mazingira na uhifadhi wakati wa semina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xESQbmuxWTA/XtYDuk9aurI/AAAAAAALsSY/s8_Z-3oytzQUZ8YaBz3PaZU6YQn0yhsDQCLcBGAsYHQ/s72-c/16513870_101.jpg)
JET YAENDELEA KUWANOA WAANDISHI WA HABARI KUANDIKA HABARI ZINAZOHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA,WANYAMAPORI
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania(JET) imevikumbusha vyombo vya habari nchini kuwa vinavyo nafasi kubwa ya kuwezesha watunga sera kutunga sera zitakazosaidia kukabiliana na biashara haramu ya wanyama pori pamoja na ujangili.
Kwa upande wa jamii nayo imeelezwa wanalo jukumu la kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya uhifadhi wa mazingira na wanyamapori kusimama imara katika kukomesha uharibifu wa mazingira na zaidi biashara haramu ya...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
JET yahamasisha waandishi kuripoti habari za mazingira
Katibu mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Mazingira Tanzania (JET) John Chikomo, akitoa taarifa yake ya utendaji pamoja na fedha mbele ya mkutano mkuu wa mwaka 2013 wa chama hicho. Mkutano huo uliohudhuriwa na wananchama wengi, ulifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Lion iliyopo Sinza jijini Dar-es-salaam.Wa pili kushoto (waliokaa) ni mwenyekiti wa JET, Johnson Mbwambo na anayefuata ni katibu christom Rweyemamu na wa kwanza kulia ni mjumbe wa kamati ya bodi.
Na Nathaniel...
10 years ago
Vijimambo02 Jun
WANAWAKE NCHINI UGANDA WAANDAMANA WAKIWA UCHI
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwqvtjZgGjUS*aNj7Vi0HJNyEzsLv*ubMR*XM9BxineuWtUs2ijqMGPWQ0-aI4*RkEQuSucYD6YESB6a6r-s1sqK/UGANDA6.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwqZYj1K5MCgGv9NQIDIfXO*-wlrEfsIICoBnWNaqzo5q3PmQGHpZa5ll-OBXs6KWeplk9Y9ChaCsGgK5FeEVFtX/UGANDA.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwp0YTE7fGoaAFBuMNl-XMrXfGmGJ007qq8UkMNE8Y*HzZn9jaIcnJzQt0B00OeiOOwLzz*RKMFBqFA*vKfP3*zw/UGANDA5.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwoUBgyEtKGFihUYC4gIfTVTRQINYdXCUhLpUAfGvol8dPLwmZFR9MFGzI2yxw5jg2JF-2g6tTlXwL4c3I6wqY6s/UGANDA2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwqTh4ulefFF0vzbiStGXnPDZd-CY4vH9R7UiHkhBogDTdDkCEfmM9ijfuLnR28pU6cuUcqdd-7TNdzpI1nEBHeS/UGANDA67.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwpx1WOToR7KxZWlguiMt1PtuR0Yzl8YmU3rMW*GdVLAYaVlriqmR4epxxCC4RZnSm5368MOi9lwfB16r8mnXHpZ/UGANDA1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwq1AhXW0hvjgYky*T-sRV6hxZ-yJP8EhPyS1ytjVWkuFXW51f7T3Q1vUXJx*J6qLavPFJqfaRD3mfaagSJ0XgVF/UGANDA3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7-17Ut3vwpB-vxDcsYoaKmUXjozVkGMhwFZv-uEX3g1KbTeC-OPn0S64rjsljAxnM4*rIiKXJowC1tIp-WGzGpuG5Sj5Ges/UGANDA4.jpg?width=650)
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wahariri na waandishi wa habari wapewa semina ya uhifadhi wa mazingira
Meneja Uhifadhi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania, Dr. Amani Ngusaru ,akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari mbalimbali katika semina ilioandaliwa na (WWF) iliofanyika Disemba 2-3, 2014 mkoani Morogoro juu ya utunzaji wa mazingira ili kuleta uwiano sawa wa rasilimali zinazopatikana maeneo mbalimbali nchini.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON).
Mkurugenzi wa Shirika la Utunzaji wa Mazingira WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato akielezea malengo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-60HbFQqqDUs/UyA60Kfw2TI/AAAAAAAFTD8/GMnrwOps9Xw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WAANDISHI WANAWAKE WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU-UTAFITI
![](http://4.bp.blogspot.com/-60HbFQqqDUs/UyA60Kfw2TI/AAAAAAAFTD8/GMnrwOps9Xw/s1600/unnamed+(4).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
RCGA waandamana kudai kibali
MAANDAMANO ya zaidi ya kilometa 100 yaliyofanywa na wanachama wa Chama cha Wakulima wa Miwa bonde la Ruhembe (RCGA) kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa wakidai kibali cha kufanya...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Waandamana kudai kidato cha tano
WAHITIMU 39 wa kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari Karobe jijini hapa wakiwa na wazazi wao, jana waliandamana hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa ili kujua hatma...
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...