Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RCGA waandamana kudai kibali

MAANDAMANO ya zaidi ya kilometa 100 yaliyofanywa na wanachama wa Chama cha Wakulima wa Miwa bonde la Ruhembe (RCGA) kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa wakidai kibali cha kufanya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waandamana kudai kidato cha tano

WAHITIMU 39 wa kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari Karobe jijini hapa wakiwa na wazazi wao, jana waliandamana hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa ili kujua hatma...

 

10 years ago

Vijimambo

Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.

Mwandishi wa habari aliyepigwa na kujeruhuwa akiwa kazini amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Msambia, nchini humo. Waandishi wa habari nchini Uganda waandamana kudai mazingira salama ya kufanya kazi.
 Moja ya story zilizochukua headlines kutoka Uganda leo January 13, ni ile inayohusu Waandishi wa habari nchini humo kuandamana baada ya Afisa wa Polisi Joram Mwesije, kumpiga mwandishi Adrew Lwanga, na baadae akakutana na Ispekta wa Polisi na kukiri makosa yake,...

 

10 years ago

Habarileo

Harambee kuombewa kibali Ikulu

MAPENDEKEZO ya Sheria mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi, miongoni mwa viongozi wa umma, yanatarajiwa kudhibiti viongozi wa umma kushiriki au kuendesha harambee na kutoa zawadi kubwa kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mahakama imfutie kibali Lundenga’

Kesi baina ya washirika katika mashindano ya urembo nchini Miss Tanzania imeingia katika sura mpya baada ya mfanyabiashara Prantash Patel kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imzuie moja kwa moja mshirika wake, Hashimu Lundenga kuandaa na kuendesha mashindano hayo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JWTZ: Diamond hakuwa na kibali

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema kuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul maarufu ‘Diamond Platinumz’, aliyetinga na sare za jeshi jukwaani kwenye tamasha la Fiesta, hakuwa na kibali...

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi apewa kibali cha muda

>Hatimaye mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi amepata kibali cha muda cha kufanya kazi nchini ambacho kitamwezesha kuichezea klabu ya Simba.

 

10 years ago

Mwananchi

Yona: Dhahabu ilikaguliwa ‘bila kibali’

Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mchakato wa kumpata mkaguzi wa madini ya dhahabu nchini ulianza bila ya kuwapo kwa kibali cha maandishi cha rais.

 

9 years ago

Mwananchi

Daktari akamatwa na dawa bila kibali

Jeshi la polisi mkoani Pwani linamshikilia Mganga Mfawidhi Ramadhan Mtambo wa zahanati ya kijiji cha Mkongo Kaskazini kilichopo Wilayani hapa kwa tuhuma za kupatikana na dawa za binadamu bila kibali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kibali cha Jaja chawatesa Yanga

KLABU ya Yanga kwa sasa inajikuta katika wakati mgumu kwani zikisalia siku 20 kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania bara, Hati ya Uhamisho wa kimataifa (ITC) wa nyota wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani