Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandamana kudai kidato cha tano

WAHITIMU 39 wa kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari Karobe jijini hapa wakiwa na wazazi wao, jana waliandamana hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa ili kujua hatma...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Daraja la 1-3 kwenda kidato cha tano

SERIKALI imesema sifa za mwanafunzi atakayeendelea na masomo ya kidato cha tano kwa mwaka huu ni waliopata daraja la kwanza hadi la tatu pointi 31.

 

10 years ago

Habarileo

Asilimia 75 wajiunga kidato cha tano

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI (Elimu), Kassim MajaliwaJUMLA ya wanafunzi 55,003 wakiwemo wasichana 23,303 na wavulana 31,700 sawa na asilimia 74.58 ya waafunzi 73,754 waliostahili kuingia kidato cha Tano Tanzania Bara kwa mwaka 2015 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwenye shule za bweni na kutwa.

 

11 years ago

Michuzi

Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano

Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano katika shule za Serikali na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 umekamilika. Uchaguzi umefanyika kwa kuzingatia takwimu za matokeo ya watahiniwa waliofanya Mtihani wa Kidato cha Nne Tanzania Bara mwaka 2013.  Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 18,751 wakosa nafasi kidato cha tano

Wanafunzi 18,751 waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014, wamekosa nafasi ya kujiunga na shule za kidato cha tano kwa sababu mbalimbali ikiwamo ufinyu wa nafasi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RCGA waandamana kudai kibali

MAANDAMANO ya zaidi ya kilometa 100 yaliyofanywa na wanachama wa Chama cha Wakulima wa Miwa bonde la Ruhembe (RCGA) kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa wakidai kibali cha kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani