Daktari akamatwa na dawa bila kibali
Jeshi la polisi mkoani Pwani linamshikilia Mganga Mfawidhi Ramadhan Mtambo wa zahanati ya kijiji cha Mkongo Kaskazini kilichopo Wilayani hapa kwa tuhuma za kupatikana na dawa za binadamu bila kibali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Yona: Dhahabu ilikaguliwa ‘bila kibali’
Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mchakato wa kumpata mkaguzi wa madini ya dhahabu nchini ulianza bila ya kuwapo kwa kibali cha maandishi cha rais.
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Nduguye Messi amiliki 'bunduki bila kibali'
Kakaake mkubwa nyota wa timu ya Argentina na Barcelona Lionel Messi amekamatwa kwa kumiliki bunduki bila kibali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7wMje5VHTSc/Xtd_Dk6DlmI/AAAAAAALsbU/q_gryGDjB8QHa1kZg2TnecIL-2-e2cpjACLcBGAsYHQ/s72-c/Prosperity-Law-Picture-2.jpg)
ALIYECHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI BILA KIBALI AHUKUMIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7wMje5VHTSc/Xtd_Dk6DlmI/AAAAAAALsbU/q_gryGDjB8QHa1kZg2TnecIL-2-e2cpjACLcBGAsYHQ/s640/Prosperity-Law-Picture-2.jpg)
Hukumu hiyo imesomwa leo Juni 3, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya mshtakiwa kuingia makubaliano na DPP na kukiri kosa lake hilo ambapo ametakiwa pia kulipa fidia ya sh. Milioni mbili.
Akisoma hukumu hiyo,...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Daktari feki akamatwa Moro
JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia Karume Kanzu (22), kwa tuhuma za kujifanya daktari wa hospitali kuu mkoani hapa na kuhudumia wagonjwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo,...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Daktari aliyesababisha vifo akamatwa
Daktari aliyesababisha vifo vya Wanawake nchini India anashikiliwa na Polisi
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Daktari feki akamatwa Tanzania
Uongozi wa taasisi ya MOI katika hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam umemkamata mtu anayetuhumiwa kuwa daktari bandia Jumatatu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200317_110813.jpg)
DC KASESELA: MARUFUKU SHEREHE ZA HARUSI BILA KIBALI CHA DMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110813.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y8vUARLzwnc/XnDFAd-NydI/AAAAAAAAHto/vhuduFEl-DQJfO0Flgi4a2x_Fqu48y1oACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110913.jpg)
Na Frendy Mgunda IringaSERIKALI ya wilaya ya Iringa imepiga marufuku sherehe zote harusi ambazo hazina kibali maalumu kutoka kwa Mganga mkuu wa wilaya (DMO)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wWAH3gYFm2c/XsKGu8za_lI/AAAAAAALqrM/kCU8IUyC_yEOn7GWEQWBrmm_N919v1RagCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200518-145946_1589803522124.jpg)
WAWILI WASHIKILIWA NA POLISI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wWAH3gYFm2c/XsKGu8za_lI/AAAAAAALqrM/kCU8IUyC_yEOn7GWEQWBrmm_N919v1RagCLcBGAsYHQ/s320/Screenshot_20200518-145946_1589803522124.jpg)
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikilia Waandishi wawili raia wa nchi jirani ya Kenya kwa kosa la kuingia nchini bila kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Clinton Isimbu( 22)kabila Mluya,mpiga picha wa Elimu Tv ya Kenya,mwingine ni Kaleria Shadrack(23)kabila mmeru ambaye pia ni mwandishi wa habari Elimu Tv ya nchini Kenya.
Kamanda Shana amesema watuhumiwa hao waliingia nchini kwa njia ya Panya,ambapo kwa Sasa wote...
11 years ago
Mwananchi12 Jul
Daktari feki akamatwa hospitali ya Morogoro
>Kijana Karume Kauzu Habibu (22) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kujifanya Daktari wa Hospitali Kuu mkoani hapa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania