Yona: Dhahabu ilikaguliwa ‘bila kibali’
Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mchakato wa kumpata mkaguzi wa madini ya dhahabu nchini ulianza bila ya kuwapo kwa kibali cha maandishi cha rais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Sep
Yona: BoT ilihusika kumpata mzabuni kukagua dhahabu
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona (73) ameieleza Mahakama kuwa, Benki Kuu (BoT) ilihusika kusimamia mchakato wa kutafuta kampuni ya kukagua uzalishaji wa dhahabu nchini kwa njia ya zabuni.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Daktari akamatwa na dawa bila kibali
Jeshi la polisi mkoani Pwani linamshikilia Mganga Mfawidhi Ramadhan Mtambo wa zahanati ya kijiji cha Mkongo Kaskazini kilichopo Wilayani hapa kwa tuhuma za kupatikana na dawa za binadamu bila kibali.
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Nduguye Messi amiliki 'bunduki bila kibali'
Kakaake mkubwa nyota wa timu ya Argentina na Barcelona Lionel Messi amekamatwa kwa kumiliki bunduki bila kibali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7wMje5VHTSc/Xtd_Dk6DlmI/AAAAAAALsbU/q_gryGDjB8QHa1kZg2TnecIL-2-e2cpjACLcBGAsYHQ/s72-c/Prosperity-Law-Picture-2.jpg)
ALIYECHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI BILA KIBALI AHUKUMIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7wMje5VHTSc/Xtd_Dk6DlmI/AAAAAAALsbU/q_gryGDjB8QHa1kZg2TnecIL-2-e2cpjACLcBGAsYHQ/s640/Prosperity-Law-Picture-2.jpg)
Hukumu hiyo imesomwa leo Juni 3, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya mshtakiwa kuingia makubaliano na DPP na kukiri kosa lake hilo ambapo ametakiwa pia kulipa fidia ya sh. Milioni mbili.
Akisoma hukumu hiyo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wWAH3gYFm2c/XsKGu8za_lI/AAAAAAALqrM/kCU8IUyC_yEOn7GWEQWBrmm_N919v1RagCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200518-145946_1589803522124.jpg)
WAWILI WASHIKILIWA NA POLISI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wWAH3gYFm2c/XsKGu8za_lI/AAAAAAALqrM/kCU8IUyC_yEOn7GWEQWBrmm_N919v1RagCLcBGAsYHQ/s320/Screenshot_20200518-145946_1589803522124.jpg)
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikilia Waandishi wawili raia wa nchi jirani ya Kenya kwa kosa la kuingia nchini bila kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Clinton Isimbu( 22)kabila Mluya,mpiga picha wa Elimu Tv ya Kenya,mwingine ni Kaleria Shadrack(23)kabila mmeru ambaye pia ni mwandishi wa habari Elimu Tv ya nchini Kenya.
Kamanda Shana amesema watuhumiwa hao waliingia nchini kwa njia ya Panya,ambapo kwa Sasa wote...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200317_110813.jpg)
DC KASESELA: MARUFUKU SHEREHE ZA HARUSI BILA KIBALI CHA DMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lxyAgDd99Tc/XnC_5nCpzYI/AAAAAAAAHtY/ma7BCuMTzj4A07N62nOPfb6jp0hiS5MWQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110813.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y8vUARLzwnc/XnDFAd-NydI/AAAAAAAAHto/vhuduFEl-DQJfO0Flgi4a2x_Fqu48y1oACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200317_110913.jpg)
Na Frendy Mgunda IringaSERIKALI ya wilaya ya Iringa imepiga marufuku sherehe zote harusi ambazo hazina kibali maalumu kutoka kwa Mganga mkuu wa wilaya (DMO)...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eRJdsIXWmEI/VMjXgVR43RI/AAAAAAAG_5o/WVZpjKgNqO4/s72-c/image061.jpg)
RAIA WANNE (4) WA ETHIOPIA MBARONI KWA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eRJdsIXWmEI/VMjXgVR43RI/AAAAAAAG_5o/WVZpjKgNqO4/s1600/image061.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikila watu wanne (4) raia wa Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila kuwa na kibali
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watu hao wamekamatwa tarehe 26/01/2015 majira ya 15:55hrs katika eneo la Nala kwenye Mzani wa Magari (Weight Bridge) Kata ya Nala Tarafa ya Zuzu Manispaa ya Dodoma wakiwa kwenye basi la Prince Munaa lenye namba za usajili T....
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Basil-Mramba-na-Daniel-Yona-wakiwa-mahakamani-hapo-leo..jpg)
YONA, MRAMBA KWENDA JELA MIAKA 2 BILA FAINI
Basil Mramba na Daniel Yona wakiwa Mahakama Kuu ya Tanzania kusikiliza rufaa yao. Daniel Yona akiteta jambo na mmoja wa mawakili mahakamani hapo. Ndugu wa Daniel Yona wakimsalimia mara baada ya kufika mahakamani hapo. Yona akiwasiliana na ndugu zake. MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam leo imetoa hukumu ya rufaa dhidi ya mawaziri wa zamani, Bazil Mramba na Daniel Yona waliohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya...
9 years ago
GPLUCHAGUZI MKUU 2015: MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) YAKATAZA KURUSHA CHOPA BILA KIBALI
UTANGULIZI
Tangazo hili linatolewa kwa lengo la kutoa mwongozo kwa watoa huduma za helikopta, marubani wake na umma kwa ujumla kuhusiana na hatua za kiusalama zinazopaswa kuzingatiwa inapolazimika kutoa huduma ya usafiri wa helikopta hapa nchini, hususan, maeneo ya mbali (vijijini) ambapo huduma za uongozaji ndege hazipo au sio maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya helikopta kutua (mahsusi kwa helikopta au viwanja vya ndege...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania