Yona: BoT ilihusika kumpata mzabuni kukagua dhahabu
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona (73) ameieleza Mahakama kuwa, Benki Kuu (BoT) ilihusika kusimamia mchakato wa kutafuta kampuni ya kukagua uzalishaji wa dhahabu nchini kwa njia ya zabuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen11 Sep
Yona heaps blame on BoT
11 years ago
Mwananchi13 Sep
Yona: Dhahabu ilikaguliwa ‘bila kibali’
5 years ago
Michuzi
MZABUNI WA MADIRISHA UJENZI WA IKULU NDOGO HANANG AKAMATAWA NA TAKUKURU

BAADA ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kubaini madirisha yaliyowekwa katika ujenzi wa Ikulu Ndogo unaoendelea wilayani hapo hapo chini ya kiwango umemkamata na kumshikilia Joakimu Kauki kwa tuhuma hizo.
Kauki ndiye aliyepewa tenda ya uzabuni ya kutengeneza madirisha ya Aluminum na ofisi ya manunuzi Mkoa wa Manyara kwa jengo la Ikulu Ndogo inayojengwa wilayani Hanang.
Uchunguzi uliofanywa na TAKUKURU umebaini pia...
11 years ago
Mwananchi14 Sep
Chadema kumpata mwenyekiti leo
10 years ago
GPL
FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA
11 years ago
Habarileo15 Jun
Shindano kumpata mjasiriamali bora
SHINDANO la kumtafuta mjasiriamali atakayeweza kufanya kazi kwa kuboresha maisha ya watoto waishio katika mazingira magumu linazinduliwa leo rasmi jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPL
FANYA HIVI KUMPATA ANAYEKUFAA-2
10 years ago
Mtanzania17 Sep
Bagamoyo kumpata Miss Bomba leo
NA PATRICK MWILLONGO, BAGAMOYO
WILAYA ya Bagamoyo, mkoani Pwani, inatarajia kumpata mlimbwende katika shindano la IPAM Mrembo Bomba,
linalotarajiwa kufanyika leo usiku katika ukumbi wa Sky Light, wilayani hapa.
Muandaaji wa shindano hilo, Abdallah Mtangwelah wa kampuni ya Tangwe Man Entertainment, aliwataja warembo wanaowania taji hilo kuwa ni Kalisa Anderson, Katrina John, Fatuma Kassimu, Lulu John na Mariamu Peter.
Wengine ni Salama Jonson na Lulu William, ambao walikuwa wakinolewa...
10 years ago
GPL