MZABUNI WA MADIRISHA UJENZI WA IKULU NDOGO HANANG AKAMATAWA NA TAKUKURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-X_EKDrifT-A/XvCL5EUDZZI/AAAAAAALu6k/njLxH_Gn7g8pLulPCtCGe2yQFUgJySUnACLcBGAsYHQ/s72-c/hCWUmxf2_400x400.png)
Charles James, Michuzi TV
BAADA ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kubaini madirisha yaliyowekwa katika ujenzi wa Ikulu Ndogo unaoendelea wilayani hapo hapo chini ya kiwango umemkamata na kumshikilia Joakimu Kauki kwa tuhuma hizo.
Kauki ndiye aliyepewa tenda ya uzabuni ya kutengeneza madirisha ya Aluminum na ofisi ya manunuzi Mkoa wa Manyara kwa jengo la Ikulu Ndogo inayojengwa wilayani Hanang.
Uchunguzi uliofanywa na TAKUKURU umebaini pia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Jul
JK akutana na Mgombea Urais wa Msumbiji Ikulu ndogo mjini Tanga
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi Ikulu ndogo ya Tanga kwa mazungumzo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa kwenye picha ya pamoja na a Mgombea wa Urais nchini Msumbiji kwa tiketi ya chama cha Frelimo Filipe Nyusi aliyeambatana na Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ildl7McSLI/VAL5TmuP0BI/AAAAAAAGX9c/gx9W8b3v7vo/s72-c/uk1.jpg)
JK AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA (TCD) IKULU NDOGO DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ildl7McSLI/VAL5TmuP0BI/AAAAAAAGX9c/gx9W8b3v7vo/s1600/uk1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-30ECatlmpqQ/VAL6yo9mBlI/AAAAAAAGX_g/0xDaxhey2fc/s1600/uk4.jpg)
11 years ago
CloudsFM16 Jun
Picha: Mh. Rais Kikwete alipowaalika Wasanii chakula cha jioni IKULU ndogo Dodoma, #TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-9WikTilW0VE/U537n7zqK-I/AAAAAAAAFFA/Zis5C3NPlGU/s1600/Mpoto+1+copy.jpg)
#TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-M7CIZMvFeAg/U537icpfb5I/AAAAAAAAFE8/Vip3wEfEQcg/s1600/Kadinda%252C+Baby+an+Ommy+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DuXcw6gdhHM/U537XazH-LI/AAAAAAAAFEk/B1HT78Ei_gI/s1600/Izzo%252C+Perfect+an+Quick+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-itGX_OLSMAM/U537-_ypl8I/AAAAAAAAFFc/t_bdjsu9sWY/s1600/Uwoya%252C+Johari.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hkyVFzqn1Zw/U537ah_TGaI/AAAAAAAAFEs/vkWdoaYhstA/s1600/Jb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zYVLYn3ko_w/U53751O3l1I/AAAAAAAAFFU/GXmx9e8yuDY/s1600/Shilole+an+Mziwanda.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rti-jlB17QY/U537U4xINYI/AAAAAAAAFEU/bCfEcOkayX8/s1600/Fauzia+2+copy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C5J-v2XNSAI/U537yY2wpYI/AAAAAAAAFFM/fkazfl6HUKE/s1600/Queen+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7M0_e9IIeLA/U538I4T3WMI/AAAAAAAAFFs/BsF2FZq-f9o/s1600/Wolper+copy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ADC1Qhv9MPA/U538ELZjnVI/AAAAAAAAFFk/r2zjRBrVEsM/s1600/Wolper+an+Kajala.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d6Lp0wumc2Q/U537XWYkW5I/AAAAAAAAFEg/dA1QgUCiToU/s1600/G+copy.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
Rais Kikwete akutana na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ikulu ndogo Dodoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ildl7McSLI/VAL5TmuP0BI/AAAAAAAGX9c/gx9W8b3v7vo/s1600/uk1.jpg)
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo.TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lkkb0Jzb_I4/VAL6i-Yar4I/AAAAAAAGX-8/5ED7Dy8bX4c/s1600/uk2.jpg)
Mwenyekiti wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cpo-nhorHmE/Vk76Cn_nGsI/AAAAAAAIG_o/2YmVnVvvcaA/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA KUAPISHWA WAZIRI MKUU WA AWAMU YA TANO VIWANJA VYA IKULU NDOGO CHAMWINO MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cpo-nhorHmE/Vk76Cn_nGsI/AAAAAAAIG_o/2YmVnVvvcaA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nmlnR2lRd88/Vk76CxovprI/AAAAAAAIG_w/7ouiXrtlodU/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tG73nj0XwWU/Vk76DL_w-TI/AAAAAAAIG_s/T0sff1xpWec/s640/3.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI MPINA ASHTUKIA UPIGAJI WA BILIONI 2.6 UJENZI MAABARA YA UVUVI, AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA NDANI YA SIKU 7
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata maelezo ya namna ya shughuli yaujenziwa mradi wa jengo la Maabara ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania(TAFIRI) Kituo cha Dar es Salaam kutoka kwa Mkandarasi wa Kampuni yaPetra Constuction co. Limited, NicholausMlayi alipotembelea mradi huo Kunduchi Dar es Salaam.
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata ufafanuzi kutoka kwa Mshauri Mwelekezi wa Kampuni ya Y&P Architect inayosimamia Mradi wa Ujenzi wa Maabara ya
Taasisi ya Utafiti wa...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya
Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).
Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’
Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga asubuhi ya leo wameweza kusimamisha baadhi ya shughuli eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s72-c/guns.jpg)
TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI
![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s1600/guns.jpg)
Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...