Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mahakama imfutie kibali Lundenga’

Kesi baina ya washirika katika mashindano ya urembo nchini Miss Tanzania imeingia katika sura mpya baada ya mfanyabiashara Prantash Patel kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imzuie moja kwa moja mshirika wake, Hashimu Lundenga kuandaa na kuendesha mashindano hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

RCGA waandamana kudai kibali

MAANDAMANO ya zaidi ya kilometa 100 yaliyofanywa na wanachama wa Chama cha Wakulima wa Miwa bonde la Ruhembe (RCGA) kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa wakidai kibali cha kufanya...

 

10 years ago

Habarileo

Harambee kuombewa kibali Ikulu

MAPENDEKEZO ya Sheria mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi, miongoni mwa viongozi wa umma, yanatarajiwa kudhibiti viongozi wa umma kushiriki au kuendesha harambee na kutoa zawadi kubwa kubwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JWTZ: Diamond hakuwa na kibali

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema kuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul maarufu ‘Diamond Platinumz’, aliyetinga na sare za jeshi jukwaani kwenye tamasha la Fiesta, hakuwa na kibali...

 

11 years ago

GPL

LUNDENGA...

Hili nalo neno! Baada ya Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu kutwaa Taji la Ijumaa Sexiest Girl 2013/14, Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga ‘Anko’ ameufungukia ushindi wa mrembo huyo. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu baada ya kutwaa tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl 2013/14. Akizungumza ndani ya Chumba cha Habari cha Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Lundenga...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kibali cha Jaja chawatesa Yanga

KLABU ya Yanga kwa sasa inajikuta katika wakati mgumu kwani zikisalia siku 20 kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania bara, Hati ya Uhamisho wa kimataifa (ITC) wa nyota wake...

 

10 years ago

Mwananchi

Marcos Rojo apata rasmi kibali

Beki Marcos Rojo ataichezea Manchester United kwa mara ya kwanza katika mechi ya Ligi Kuu England 

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi apewa kibali cha muda

>Hatimaye mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi amepata kibali cha muda cha kufanya kazi nchini ambacho kitamwezesha kuichezea klabu ya Simba.

 

9 years ago

Mwananchi

Daktari akamatwa na dawa bila kibali

Jeshi la polisi mkoani Pwani linamshikilia Mganga Mfawidhi Ramadhan Mtambo wa zahanati ya kijiji cha Mkongo Kaskazini kilichopo Wilayani hapa kwa tuhuma za kupatikana na dawa za binadamu bila kibali.

 

10 years ago

Mwananchi

Yona: Dhahabu ilikaguliwa ‘bila kibali’

Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mchakato wa kumpata mkaguzi wa madini ya dhahabu nchini ulianza bila ya kuwapo kwa kibali cha maandishi cha rais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani