Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LUNDENGA...

Hili nalo neno! Baada ya Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu kutwaa Taji la Ijumaa Sexiest Girl 2013/14, Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga ‘Anko’ ameufungukia ushindi wa mrembo huyo. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu baada ya kutwaa tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl 2013/14. Akizungumza ndani ya Chumba cha Habari cha Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Lundenga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lundenga alia hujuma

Siku moja baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzania kwa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashim Lundenga amesema hatua hiyo imefikiwa kutokana na shinikizo kutoka kwa baadhi ya watu wenye dhamira ya kuitoa kwenye mstari wa mafanikio sanaa ya urembo nchini.

 

10 years ago

IPPmedia

Trouble looms for Lundenga


IPPmedia
Trouble looms for Lundenga
IPPmedia
The Kisutu Resident Magistrates' Court yesterday dismissed a preliminary objection raised by organiser of Miss Tanzania premier beauty pageantry Hashim Lundenga for lack of legal merits. Lundenga raised the preliminary objection against an application ...
Court dismisses Lundenga's objectionDaily News
Lundenga Counters Patel's Request to Block PageantAllAfrica.com

all 6

 

10 years ago

Mwananchi

Lundenga na Miss Tanzania wajikoroga

Utata umezidi kutanda kuhusu Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ambaye amejikoroga katika juhudi zake za kujitetea kwenye kashfa inayohusu umri wake.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mahakama imfutie kibali Lundenga’

Kesi baina ya washirika katika mashindano ya urembo nchini Miss Tanzania imeingia katika sura mpya baada ya mfanyabiashara Prantash Patel kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imzuie moja kwa moja mshirika wake, Hashimu Lundenga kuandaa na kuendesha mashindano hayo.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Lundenga aitema Miss Tanzania

BAADA ya kutoka kifungoni , Mkurugenzi wa Lino International  Agency,  Hashimu Lundenga ameachia ngazi kwenye  Kamati ya Miss Tanzania na kuundwa kamati mpya inayoongozwa na Juma Pinto.

Awali Lundenga alikuwa mwenyekiti wa Kamati hiyo.

Mwishoni mwa mwaka  jana shindano hilo lilifungiwa na serikali kupitia  Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), baada ya waandaaji  kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni za mashindano hayo, baada ya  mrembo aliyekuwa akishikilia taji  hilo, Sitti Mtevu...

 

10 years ago

GPL

LUNDENGA AWAKA KISA SITTI


Stori: Musa Mateja
MKURUGENZI wa Lino International Agency ambao ndiyo waandaaji wa Shindano la Miss Tanzania, Hashim Lundenga amewaka kinomanoma baada ya kuulizwa habari za mrembo wake aliyejivua taji hivi karibuni, Sitti Mtemvu. Aliyekuwa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu. Lundenga alibwatuka maneno makali baada ya paparazi wetu kumuuliza juu ya uwepo wa taarifa kwamba shindano hilo linaweza kufungiwa kutokana na kashfa...

 

10 years ago

Daily News

Court dismisses Lundenga's objection


Daily News
Court dismisses Lundenga's objection
Daily News
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Tuesday dismissed objection presented by Miss Tanzania beauty pageant organiser, Hashim Lundenga, to oppose an application by his partner, Prashant Patel, challenging this year's contest ...
Miss Tanzania organisers still battle in courtIPPmedia

all 4

 

11 years ago

GPL

HASHIM LUNDENGA ATINGA GLOBAL

Mkurugenzi wa Lino International Agency,Hashim Lundenga akisikiliza maswali kutoka kwa wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Hashim Lundenga akijibu maswali.…

 

10 years ago

GPL

LUNDENGA, MISS TANGA WAZICHAPA

Na Deogratius Mongela KW/RB/8441/2014 imemshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga kwa madai ya kuzichapa na Miss Tanga 1997, Mona Faraja ambaye pia ni mke wake na kumsababishia majeraha, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori. Miss Tanga 1997, Mona Faraja anayedaiwa kujeruhiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga. Ishu hiyo iliyonyakwa laivu na majirani ilijiri usiku wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani