Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HASHIM LUNDENGA ATINGA GLOBAL

Mkurugenzi wa Lino International Agency,Hashim Lundenga akisikiliza maswali kutoka kwa wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Hashim Lundenga akijibu maswali.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HASHIM LUNDENGA, NINGENG’ATUKA MISS TANZANIA

Mkurugenzi wa Lino Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga. akifafanua  Kwako, Hashim Lundenga.
Ni matumaini yangu kwamba hunifahamu licha ya kwamba majina yetu yanashabihiana. Najua jinsi jasho linavyoendelea kukutoka kutokana na changamoto kubwa unazokutana nazo, tangu ulipomtangaza Sitti Mtemvu kuwa Miss wa Tanzania 2014. Mimi si Mkurugenzi wa Lino International Agency, kampuni inayoendesha...

 

10 years ago

Vijimambo

Kauli Ya Hashim Lundenga Kuhusu Kufungiwa Kwa Miss Tanzania.

Siku kadhaa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzania kwa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashim Lundenga amesema ” hatua hiyo imefikiwa kutokana na shinikizo kutoka kwa baadhi ya watu wenye dhamira ya kuitoa kwenye mstari wa mafanikio sanaa ya urembo nchini ” .
Lundenga alisema “uamuzi wa BASATA ni utekelezaji wa dhamira ya wachache walioamua kuhakikisha Miss Tanzania inapotea kwenye ramani ya burudani...

 

10 years ago

Vijimambo

HASHIM LUNDENGA AKANUSHA HABARI ZA SITTI MTEMVU aka MISS TANZANIA KUJIVUA TAJI.

MKURUGENZI wa Kampuni ya Lino International Agency, Hashim Lundenga (kati pichani), amekanusha uvumi uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii mapema leo, kuwa Sitti Abbas Mtemvu (pichani kushoto) amelazimika kuvua taji la Uremo la Tanzania (Redd’s Miss Tanzania 2014).

Uvumi wa Sitti kuvua taji hilo umetokana na taarifa zilizotolewa kupitia akaunti ya Facebook mrembo huyo anayelalamikiwa kughushi vyeti vya kuzaliwa, akisema kutokana na vidole vya lawama anavyooshewa kiasi cha kuosa amani,...

 

10 years ago

GPL

NUHU MZIWANDA ATINGA GLOBAL, AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Nuhu Mziwanda ndani ya studio za Global TV Online. Nuhu Mziwanda akipozi na presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'Pam D'.…

 

11 years ago

GPL

MKUDE SIMBA ATINGA GLOBAL, AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Mkude Simba (kulia) na Stan Bakora wakipozi katika studio za Global TV Online kabla ya mahojiano. Mkude Simba a.k.a Kitale akiongea na wanahabari wa Global 'hawapo pichani'.…

 

11 years ago

GPL

AMMY NANDO ATINGA GLOBAL NA BAISKELI, AHOJIWA NA GLOBAL TV ONLINE

Ammy Nando akiwa katika usafiri wake aliotinga nao Global akijiandaa kuondoka baada ya mahojiano na Global TV Online. Ammy Nando na mdogo wake wakitokomea baada ya mahojiano na Global TV Online.…

 

10 years ago

GPL

CHEGE ATINGA GLOBAL, AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Mwanamuziki wa Muziki wa Kizazi Kipya nchini, Chege Chigunda 'Mtoto wa Kiumeni' akiwa ndani ya studio za Global TV Online na prizenta Pamela Daffa 'Pam D' (kushoto) jana. Mtangazaji wa Kipindi cha Mtu Kati cha Global TV, Pamela Daffa 'Pam D' (kushoto) akiongea na Chege Chigunda wakati wa mahojiano.…

 

10 years ago

GPL

MLELA ATINGA GLOBAL, AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Staa wa filamu, Yusuph Mlela akiwa katika pozi. Mlela akijibu moja ya maswali aliyoulizwa na waandishi (hawapo pichani). Mlela akiwa katika pozi baada ya mahojiano.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani