Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA Mwanza waandamana

SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutangaza maandamano na migomo nchi nzima, jana jijini hapa shughuli za biashara zilisitishwa kwa takribani saa sita. Shughuli hizo zilisitishwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wapya waandamana Mwanza

ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema waandamana vichochoroni

Wafuasi wa Chadema jana waliandamana katika mitaa ya Manzese na kusababisha tafrani baada ya polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi na risasi.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema waandamana, polisi watumia mabomu kuwatawanya

>Polisi wilayani Bunda jana walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wachache wa Chadema waliokuwa wanajiandaa kuandamana.

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe

 Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, al maarufu kama RED BRIGADE, wakila kiapo cha utii, mbele ya Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, jijini Mwanza siku ya Jumamosi Februari 28, 2015. Kiapo hicho kinafuatia kukamilika kwa mafunzo ya kiulinzi na usalama kwa vijana hao. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Chadema yamfunika Magufuli Mwanza

JIJI la Mwanza jana saa 6.30 mchana lilisimama kwa muda baada ya msafara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Wilbrod Slaa akiambatana na waliokuwa wabunge machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Esther Bulaya na James Lembeli waliohamia chama hicho.

Msafara huo uliingia katikati ya jiji ukitokea Uwanja wa Ndege kupitia Barabara ya Makongoro hadi katika mzunguko unaokutanisha barabara za Nyerere, Makongoro na Kenyatta, kisha ukaelekea Barabara ya Kenyatta...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mwanza yajipanga kuikabili CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Mwanza kimeandaa mbinu mbaya za kukiangamiza Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE MKUTANO WA CHADEMA MWANZA

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa akihutubia mamia ya wakazi wa Mwanza waliohudhuria katika mkutano mkubwa uliofanyika jijini hapo jana.
Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria wa CHADEMA Mh Tundu LISSU akiwahutubia wakazi wa Mwanza jana.
Mbunge wa Viti Maalum Kutoka mkoa wa MARA aliyehamia CHADEMA kutoka CCM Mh Esther Bulaya akihutubia katika mkutano mkubwa jijini Mwanza jana.
Mbunge wa Nyamagana Mh Ezekiah Wenje akihutubia katika mkutano jijini Mwanza.
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA...

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi Mwanza watumia mabomu kutawanya wafuasi Chadema

3NA JOHN MADUHU, MWANZA

JESHI la Polisi mkoani Mwanza, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi zaidi ya 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokuwa wamefurika katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya kushuhudia mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita marehemu Alfonce Mawazo ambaye alifariki dunia kwa kukatwa mapanga.

Mawazo alifariki juzi katika mazingira ya kutatanisha huku kifo chake kikihusishwa na masuala ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani