Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yamfunika Magufuli Mwanza

JIJI la Mwanza jana saa 6.30 mchana lilisimama kwa muda baada ya msafara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Wilbrod Slaa akiambatana na waliokuwa wabunge machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Esther Bulaya na James Lembeli waliohamia chama hicho.

Msafara huo uliingia katikati ya jiji ukitokea Uwanja wa Ndege kupitia Barabara ya Makongoro hadi katika mzunguko unaokutanisha barabara za Nyerere, Makongoro na Kenyatta, kisha ukaelekea Barabara ya Kenyatta...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe

 Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, al maarufu kama RED BRIGADE, wakila kiapo cha utii, mbele ya Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, jijini Mwanza siku ya Jumamosi Februari 28, 2015. Kiapo hicho kinafuatia kukamilika kwa mafunzo ya kiulinzi na usalama kwa vijana hao. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe...

 

10 years ago

Michuzi

MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mwanza waandamana

SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutangaza maandamano na migomo nchi nzima, jana jijini hapa shughuli za biashara zilisitishwa kwa takribani saa sita. Shughuli hizo zilisitishwa...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE MKUTANO WA CHADEMA MWANZA

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa akihutubia mamia ya wakazi wa Mwanza waliohudhuria katika mkutano mkubwa uliofanyika jijini hapo jana.
Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria wa CHADEMA Mh Tundu LISSU akiwahutubia wakazi wa Mwanza jana.
Mbunge wa Viti Maalum Kutoka mkoa wa MARA aliyehamia CHADEMA kutoka CCM Mh Esther Bulaya akihutubia katika mkutano mkubwa jijini Mwanza jana.
Mbunge wa Nyamagana Mh Ezekiah Wenje akihutubia katika mkutano jijini Mwanza.
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mwanza yajipanga kuikabili CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Mwanza kimeandaa mbinu mbaya za kukiangamiza Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema wafunika Mwanza, polisi watawanywa kwa mabomu


Baada ya Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza kuzuia maandamano ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katikati ya wiki iliyopita, umati mkubwa wa wakazi jijini hapa jana walifurika katika uwanja wa Shule ya Msingi Mbugani kuwasikiliza viongozi wao wa kitaifa.

Viongozi hao ni Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu.Mkutano huo uliohutubiwa na viongozi hao, pia ulihudhuriwa na viongozi wa mkoa wa Mwanza wa vyama vya NCCR-Mageuzi na Chama...

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi Mwanza watumia mabomu kutawanya wafuasi Chadema

3NA JOHN MADUHU, MWANZA

JESHI la Polisi mkoani Mwanza, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi zaidi ya 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokuwa wamefurika katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya kushuhudia mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita marehemu Alfonce Mawazo ambaye alifariki dunia kwa kukatwa mapanga.

Mawazo alifariki juzi katika mazingira ya kutatanisha huku kifo chake kikihusishwa na masuala ya...

 

10 years ago

GPL

CHADEMA WAFUNIKA MWANZA, WAAHIDI KUMSIMAMISHA MGOMBEA MAKINI

PICHA NA MAELEZO ZAIDI INGIA HAPA ====>…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani