Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema wafunika Mwanza, polisi watawanywa kwa mabomu


Baada ya Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza kuzuia maandamano ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katikati ya wiki iliyopita, umati mkubwa wa wakazi jijini hapa jana walifurika katika uwanja wa Shule ya Msingi Mbugani kuwasikiliza viongozi wao wa kitaifa.

Viongozi hao ni Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu.Mkutano huo uliohutubiwa na viongozi hao, pia ulihudhuriwa na viongozi wa mkoa wa Mwanza wa vyama vya NCCR-Mageuzi na Chama...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chadema watawanywa kwa mabomu kuwatawanya Chadema Kyerwa

Jeshi la Polisi wilayani hapa limetumia mabomu ya machozi kupambana na wafuasi wa Chadema waliotaka kufanya mkutano wa ndani.

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi Mwanza watumia mabomu kutawanya wafuasi Chadema

3NA JOHN MADUHU, MWANZA

JESHI la Polisi mkoani Mwanza, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi zaidi ya 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokuwa wamefurika katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya kushuhudia mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita marehemu Alfonce Mawazo ambaye alifariki dunia kwa kukatwa mapanga.

Mawazo alifariki juzi katika mazingira ya kutatanisha huku kifo chake kikihusishwa na masuala ya...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI

Polisi wakiondoa vizuizi vilivyowekwa na wananchi barabarani.…

 

9 years ago

Vijimambo

POLISI MWANZA WATAWANYISHA UKAWA KWA MABOMU YA MACHOZI

Jeshi la polisi jiji Mwanza limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa vyama vinavyounda ukawa ili wasiandamane kwenda uwanja wa ndege wa Mwanza kumpokea mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, anayetarajiwa kuwasili jijini huko kusaka wadhaminiKamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Charles mkumbo, amesema mabomu hayo yametumika ili kuwazuia wafuasi hao wasiweze kujazana uwanjani hapo na kusimamisha shughuli nyingine.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

 

10 years ago

GPL

CHADEMA WAFUNIKA MWANZA, WAAHIDI KUMSIMAMISHA MGOMBEA MAKINI

PICHA NA MAELEZO ZAIDI INGIA HAPA ====>…

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema waandamana, polisi watumia mabomu kuwatawanya

>Polisi wilayani Bunda jana walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wachache wa Chadema waliokuwa wanajiandaa kuandamana.

 

10 years ago

Vijimambo

Polisi wawatawanya wana-CCM kwa mabomu

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Mvomero,Iddi Abdallah.Jeshi la Polisi Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuzuia maandamano ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa vijiji vya Luhindo na Sangasanga, walioandamana kupinga matokeo ya kura za maoni.

Wanachama hao waliandamana kufuatia Kamati Kuu ya CCM Wilaya ya Mvomero kukata majina ya wagombea walioshinda na kurudisha majina ya walioshindwa ili wagombee nafasi za wenyeviti wa vijiji hivyo.

Mbali ya maandamano...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yawatawanya wafuasi wa Mbowe kwa mabomu

Wafuasi wa (Chadema) wilayani Mpanda jana jioni walilazimika kutafuta vichochoro vya kukimbilia baada ya polisi kusambaratisha kwa mabomu ya machozi, maandamano ya kumsindikiza Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe baada ya mkutano.

 

10 years ago

StarTV

Polisi yatawanya wafuasi wa CUF kwa mabomu.

Na Glory Matola,

Dar es Salaam.

Jeshi la Polisi limelazimika kulipua mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF waliojiandaa kuandamana hadi Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya baadhi ya wafuasi wake huko Zanzibar.

Pamoja na mabomu hayo, Jeshi hilo pia lilimkamata Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahimu Lipumba, baadhi ya wanachama na mwandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo na kupelekwa kituo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani