Chadema watawanywa kwa mabomu kuwatawanya Chadema Kyerwa
Jeshi la Polisi wilayani hapa limetumia mabomu ya machozi kupambana na wafuasi wa Chadema waliotaka kufanya mkutano wa ndani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo29 Sep
Chadema wafunika Mwanza, polisi watawanywa kwa mabomu

Viongozi hao ni Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu.Mkutano huo uliohutubiwa na viongozi hao, pia ulihudhuriwa na viongozi wa mkoa wa Mwanza wa vyama vya NCCR-Mageuzi na Chama...
11 years ago
Mwananchi24 Sep
Chadema waandamana, polisi watumia mabomu kuwatawanya
10 years ago
GPL
WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI
11 years ago
GPL
HALI TETE MELELA: MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA KUWATAWANYA WAKULIMA
10 years ago
GPLPOLISI WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA MACHINGA WALIOANDAMANA JIJINI DAR LEO
10 years ago
GPL
VURUGU KARUME: JESHI LA POLISI LATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUWATAWANYA MACHINGA DAR
11 years ago
Habarileo27 Sep
Chadema Kahama wapigwa mabomu ya machozi
POLISI wilayani Kahama wametumia mabomu ya machozi kutawanya maandamano ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa Bunge la Katiba.
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Polisi Mwanza watumia mabomu kutawanya wafuasi Chadema
NA JOHN MADUHU, MWANZA
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi zaidi ya 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokuwa wamefurika katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya kushuhudia mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita marehemu Alfonce Mawazo ambaye alifariki dunia kwa kukatwa mapanga.
Mawazo alifariki juzi katika mazingira ya kutatanisha huku kifo chake kikihusishwa na masuala ya...