Ukerewe waendelea kupokea walimu wapya
IDARA ya Elimu ya sekondari katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza, inaendelea kupokea walimu waliopangiwa kazi katika wilaya hiyo hata baada ya muda wa kufanya hivyo kumalizika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni
5 years ago
MichuziWagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EBJ1yp29dWQ/XteUpv3dVNI/AAAAAAALsdQ/s0qr_BZpbWYlJOhC_e6H3pxyqhWmO-jFgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B10.24.34%2BAM.jpeg)
TAKUKURU DODOMA YAWAONYA WATAKAOTOA NA KUPOKEA RUSHWA UCHAGUZI CHAMA CHA WALIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-EBJ1yp29dWQ/XteUpv3dVNI/AAAAAAALsdQ/s0qr_BZpbWYlJOhC_e6H3pxyqhWmO-jFgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B10.24.34%2BAM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVZIKIWA zimebaki siku mbili kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Viongozi wa kitaifa wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Dodoma imetoa onyo kwa wale wote watakaotoa na kupokea Rushwa.
Uchaguzi huo wa CWT utafanyika Juni 5 jijini Dodoma ambapo utachagua Rais, Makamu wa Rais,...
11 years ago
Habarileo03 Apr
‘Wapokeeni vizuri walimu wapya’
WAKATI walimu wapya 18,093 wa shule za sekondari walitakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi kuanzia juzi, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetaka wakurugenzi, maofisa elimu na wakuu wa shule, kuwapokea vizuri wasikimbie maeneo yao ya kazi.
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Walimu wapya waandamana Mwanza
ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Walimu wapya 32 waripoti, watano wajawazito
10 years ago
Habarileo05 Jun
Zatumwa bil 10/- kulipa walimu wapya
SERIKALI imetuma Sh bilioni 10 katika mikoa mbalimbali nchini kwa ajili ya kuwalipa walimu wapya ambao wameripoti kazini mapema mwezi uliopita.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Tuwawezeshe walimu wapya wadumu shuleni
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Bunda yapata walimu wapya 223
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imeipatia Wilaya ya Bunda jumla ya walimu wapya 223, wakiwemo wa sekondari 137 na shule za msingi 86. Mkurugenzi Mtendaji wa...