UKWELI KESI YA MDEE KUJULIKANA APRILI MOSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3CMaXxxXqFo/Xk6YWGWpw4I/AAAAAAALejY/LFbSxFLetusKihq49TkP-fCsAhbK4xLSwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imesema Aprili Mosi Mwaka huu itatoa uamuzi dhidi ya kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kama ana kesi ya kujibu au la.
Uamuzi huo utatolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kufuatia upande wa mashtaka uliowakilishwa na wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon kudai mahakamani hapo leo Februari 20, 2020 kuwa wamedunga ushahidinhao.
"Mheshimiwa shauri leo limekuja kwa kutajwa lakini nimepitia ushahidi uliotolewa na mashahidi watatu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Feb
Kesi ya Pinda kujulikana Aprili 17
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda itajulikana Aprili 17 mwaka huu, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Kesi ya Zitto kutajwa Aprili mosi
11 years ago
Habarileo11 Mar
Walimu wapya 36,021 kuajiriwa Aprili Mosi
SERIKALI imesema kuanzia Aprili Mosi, mwaka huu itaajiri rasmi jumla ya walimu wapya 36,021, ambao wamehitimu masomo yao mwaka 2013 kutoka vyuo mbalimbali. Walimu hao watakaoajiriwa rasmi na Halmashauri, walimu wa ngazi ya cheti Daraja la III A ambao hufundisha shule za msingi ni 17,928 na walimu wa shule za sekondari 18,093.
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kesi ubunge Mbagala kujulikana Februari
10 years ago
Habarileo07 Apr
Hatima kesi ya Mtikila Aprili 30
HATIMA ya kesi iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila katika Mahakama ya Rufaa akipinga uuzwaji wa jengo la iliyokuwa Forodhani Hoteli itajulikana Aprili 30 mwaka huu ambako Msajili wa Mahakama hiyo atasoma uamuzi.
10 years ago
GPLKESI YA CHID BENZI YAAHIRISHWA HADI DESEMBA MOSI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb3-n4iZYB5fU5S0LXgaktnWrbTRVVMuvb*eVl7JQsG0bR60wD6tdajmA9NUqvCeelm0wr0QGok6dSISYoNu38Ay/lulu.jpg?width=650)
KESI YA KIFO CHA KANUMBA... LULU AANIKA UKWELI
5 years ago
CCM Blog28 May
HALIMA MDEE AKUTWA NA KESI YA KUIBU
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/maxresdefault-7-2-660x400.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Kesi ya Halima Mdee yapigwa kalenda