Kesi ubunge Mbagala kujulikana Februari
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, inatarajia kupanga tarehe ya usikilizwaji wa kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi Jimbo la Mbagala, Februari 4, mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Uamuzi gharama za kesi ya ubunge Mbagala kutolewa leo
11 years ago
Habarileo19 Feb
Kesi ya Pinda kujulikana Aprili 17
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda itajulikana Aprili 17 mwaka huu, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda.
5 years ago
Michuzi
UKWELI KESI YA MDEE KUJULIKANA APRILI MOSI

Uamuzi huo utatolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kufuatia upande wa mashtaka uliowakilishwa na wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon kudai mahakamani hapo leo Februari 20, 2020 kuwa wamedunga ushahidinhao.
"Mheshimiwa shauri leo limekuja kwa kutajwa lakini nimepitia ushahidi uliotolewa na mashahidi watatu...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Kesi ya Ponda kunguruma Februari 16
KESI inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini Shehe Ponda Issa Ponda jana imeahirishwa hadi Februari 16, mwaka huu kwa mashahidi wa upande wa mashitaka kuendelea kutoa ushahidi mahakamani.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Kesi wizi IPTL kusikilizwa Februari
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Kesi ya Patel, Lundenga kuanza Februari
10 years ago
Michuzi
MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA



KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
10 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AHAIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto Mwaibale
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...