Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ubunge Mbagala kujulikana Februari

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, inatarajia kupanga tarehe ya usikilizwaji wa kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi Jimbo la Mbagala, Februari 4, mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Uamuzi gharama za kesi ya ubunge Mbagala kutolewa leo

Mahakama Kuu leo inatarajiwa kutoa uamzui wa maombi ya tathmini ya gharama za usikilizwaji wa kesi ya ubunge katika kesi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wa Jimbo la Mbagala, jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Pinda kujulikana Aprili 17

HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda itajulikana Aprili 17 mwaka huu, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda.

 

5 years ago

Michuzi

UKWELI KESI YA MDEE KUJULIKANA APRILI MOSI

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imesema Aprili Mosi Mwaka  huu itatoa uamuzi dhidi ya kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kama ana kesi ya kujibu au la.
Uamuzi huo utatolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kufuatia upande wa mashtaka uliowakilishwa na wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon kudai mahakamani hapo leo Februari 20, 2020 kuwa wamedunga ushahidinhao.
"Mheshimiwa shauri leo limekuja kwa  kutajwa lakini nimepitia ushahidi uliotolewa na mashahidi watatu...

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Ponda kunguruma Februari 16

KESI inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini Shehe Ponda Issa Ponda jana imeahirishwa hadi Februari 16, mwaka huu kwa mashahidi wa upande wa mashitaka kuendelea kutoa ushahidi mahakamani.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi wizi IPTL kusikilizwa Februari

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Februari 24, 2014 itaanza kusikiliza ushahidi wa kesi ya wizi wa mafuta yenye thamani ya Sh 970.6 milioni ya kulainisha mitambo ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), inayowakabili watu wanane.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya Patel, Lundenga kuanza Februari

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuanza kusikiliza kesi ya madai Februari 10, 2015 iliyofunguliwa na mfanyabiashara Prantash Patel dhidi ya mkurugenzi wa Lino Agency, ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga.

 

9 years ago

Michuzi

MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA

  Mgombea ubunge  jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule. (Na Mpigapicha Wetu)  Mgombea ubunge  jimbo la Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Chamazi Shule. 
Wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za mgombea wa ubunge wa Mbagala kwa tiketi ya CCM, Issa Mangungu.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO


Mgombea  ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu Mgombea Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu (katikati), akizungumza na wanachama wa chama hicho baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mbagala Charambe Mianzini Dar es Salaam jana.

Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za  huduma...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AHAIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO


Mgombea  ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu


 Mgombea Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu (katikati), akizungumza na wanachama wa chama hicho baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mbagala Charambe Mianzini Dar es Salaam jana.
Na Dotto Mwaibale
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za  huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani