Uamuzi gharama za kesi ya ubunge Mbagala kutolewa leo
Mahakama Kuu leo inatarajiwa kutoa uamzui wa maombi ya tathmini ya gharama za usikilizwaji wa kesi ya ubunge katika kesi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wa Jimbo la Mbagala, jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Oct
 Uamuzi kesi wa mita 200  iliyofunguliwa kutolewa Oktoba 23
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imetoa maelekezo kuwa Oktoba 23 mwaka huu itatoa Uamuzi dhidi ya Kesi iliyofunguliwa ya Kikatiba kuhusu Tafsiri sahihi ya Umbali anaotakiwa kusimama Mpiga kura baada ya kupiga kura.
Kesi hiyo Namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala anayeongozwa na Wakili Peter Kibatala, ambaye anataka Tafsiri ya kifungu 104 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu kukaa umbali wa mita mia 200 baada ya kupiga kura
Kesi hiyo imeanza kuunguruma mapema Wiki...
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Uamuzi mita 200 kutolewa leo
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo watatoa uamuzi wa mvutano mkali kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.
Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo, alisema hayo jana akiwa pamoja na majaji wenzake, Aloycius Mujuluzi na Lugano Mwandambo.
“Jana (juzi) tuliwaambia leo tutatoa maelekezo muhimu, kesho(leo) saa nne tutatoa uamuzi,”alisema Jaji
Kihiyo.
Majaji hao walifikia hatua ya kutoa uamuzi huo baada ya kusikiliza hoja...
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kesi ubunge Mbagala kujulikana Februari
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Kesi ya Mawazo kutolewa hukumu leo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
JAJI wa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, Lameck Mlacha, anatarajia kutoa hukumu juu ya mvutano wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Geita marehemu Alphonce Mawazo jijini Mwanza.
Jaji Mlacha anatarajia kutoa hukumu hiyo leo saa saba mchana baada ya pande zote mbili kueleza hoja zao.
Mawakili wa Serikali, Seth Mkemwa na Emilly Kilia ambao wanamtetea Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo aliyezuia...
9 years ago
Habarileo23 Oct
Hatma ya kesi ya meta 200 kutolewa leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo itatoa uamuzi kuhusu shauri la kikatiba lililofunguliwa na Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Amy Kibatala likihoji uhalali wa wapigakura kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kupigia kura.
10 years ago
Habarileo25 Sep
Uamuzi kesi kupinga Bunge Maalum leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi wa kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge la Katiba.
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Kesi ya upangaji matokeo kutolewa na FIFA
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Matokeo ya awali urais, ubunge yaanza kutolewa nchini
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6f3PXTlpPbg/VhIog_NN_fI/AAAAAAABhzg/iCnN7rGW-10/s72-c/mangungu_01.jpg)
MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6f3PXTlpPbg/VhIog_NN_fI/AAAAAAABhzg/iCnN7rGW-10/s640/mangungu_01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZQK82ZD4vAI/VhIogzhfWgI/AAAAAAABhzc/ccRWMb4t4aQ/s640/mangungu_03.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c-gOEd6_w1Y/VhIokOWJzwI/AAAAAAABh0U/3mrOoWqlfUM/s640/mangungu_08.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.