Washauri kesi dhidi ya Pinda kutupwa
Upande wa walalamikiwa katika kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, umeomba Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali kesi hiyo, ukidai kuwa walalamikaji wameshindwa kujibu hoja za pingamizi lao, dhidi ya kesi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Jul
Kesi ya Dk Mahanga dhidi ya Msemakweli yafutwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya kashfa iliyokuwa imefunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga dhidi ya Mwanaharakati, Kainerugaba Msemakweli na wenzake.
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Kesi dhidi ya rais Kenyatta ni Oktoba
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Carneiro kuendelea na kesi dhidi ya Chelsea
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza Jumatano
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Masaburi afuta kesi dhidi ya Kubenea
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta kesi ya madai ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubungo.
Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi dhidi ya mbunge wa jimbo hilo, Saed Kubenea (Chadema).
Uamuzi wa maombi ya kufuta kesi hiyo uliwasilishwa mahakamani hapo jana na wakili wa Dk. Masaburi, Clement Kihoko mbele ya Jaji Lugano Mwandambo.
Wakili Kihoko alisema kuwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Kesi dhidi ya wanajeshi 11 wa Rwanda zafutwa
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kesi dhidi ya Mubarak yatupiliwa mbali
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga