Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washauri kesi dhidi ya Pinda kutupwa

Upande wa walalamikiwa katika kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, umeomba Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali kesi hiyo, ukidai kuwa walalamikaji wameshindwa kujibu hoja za pingamizi lao, dhidi ya kesi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Dk Mahanga dhidi ya Msemakweli yafutwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifuta kesi ya madai ya kashfa iliyokuwa imefunguliwa na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga dhidi ya Mwanaharakati, Kainerugaba Msemakweli na wenzake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya rais Kenyatta ni Oktoba

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC imeahirisha kesi dhidi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta hadi mwezi Oktoba

 

9 years ago

BBCSwahili

Carneiro kuendelea na kesi dhidi ya Chelsea

Daktari wa zamani wa Chelsea Eva Carneiro anapanga kuendeleza na kesi dhidi ya Chelsea na aliyekuwa meneja Jose Mourinho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza Jumatano

Kesi dhidi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC, Bonsco Nteganda kuanza kesho katika mahakama ya ICC iliyoko the Haque Jumatano

 

9 years ago

Mtanzania

Masaburi afuta kesi dhidi ya Kubenea

Pg 2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta kesi ya madai ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubungo.

Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi dhidi ya mbunge wa jimbo hilo, Saed Kubenea (Chadema).

Uamuzi wa maombi ya kufuta kesi hiyo uliwasilishwa mahakamani hapo jana na wakili wa Dk. Masaburi, Clement Kihoko mbele ya Jaji Lugano Mwandambo.

Wakili Kihoko alisema kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop

Rihannaameshinda kesi ya madai dhidi ya duka la mavzi la Topshop juu ya fulana iliyobandikwa sura yake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya wanajeshi 11 wa Rwanda zafutwa

Mahakama Uhispania imefutilia mbali kesi dhidi ya wanajeshi 11 kati ya 40 walioshtakiwa 2008 kwa tuhuma za kutekeleza mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Mubarak yatupiliwa mbali

Mahakama moja nchini Misri imetupilia mbali kesi dhidi ya aliyekuwa rais wa taifa hilo Hosni Mubarak

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC,itatoa hukumu dhidi ya mbabe wa vita kutoka Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Germain Katanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani