Kesi dhidi ya wanajeshi 11 wa Rwanda zafutwa
Mahakama Uhispania imefutilia mbali kesi dhidi ya wanajeshi 11 kati ya 40 walioshtakiwa 2008 kwa tuhuma za kutekeleza mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Kesi 82 zafutwa kwa kukosa ushahidi
KESI 82 zilizokaa muda mrefu zimefutwa mkoani Kagera kwa kukosa ushahidi wa kutosha katika kipindi cha mwaka 2012/2013. Akizungumza wakati wa sherehe za Siku ya Sheria nchini, jana Mwanasheria Mfawidhi wa...
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuingia DRC
Msemaji wa Serikali ya DRC amesema kuwa wanajeshi wa Rwanda wameonekana nchini humo katika hifadhi ya Wanyama ya Virunga
9 years ago
BBCSwahili26 Dec
Wanajeshi wa Iraq wapiga hatua dhidi ya IS
Wanajeshi wa Iraq wamepiga hatua kwenye operesheni yao dhidi ya wapiganaji wa Islamic State mjini Ramadi.
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje
Askari watano wa Rwanda wamekamatwa na wakazi wa kitongoji cha mji mkuu Kigali kwa kudsaiwa kuwabaka wanawake
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Kesi ya mshukiwa wa Rwanda yaanza Ufaransa
Kesi dhidi ya aliyekuwa afisaa wa Jeshi nchini Rwanda, Kapteni Pascal Simbikangwa aliyeshitakiwa kwa kosa la kuhusika na mauaji ya kimbare mwaka 1994 itasikilizwa leo Ufaransa.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
UK yapinga kesi ya mpelelezi mkuu Rwanda
Mahakama ya Uingereza imekataa mpango wa kumsafirisha hadi nchini Uhispania afisa mkuu wa idara ya upelelezi wa Rwanda ili ashtakiwe na jukumu alilochukua wakati wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Mapambano dhidi ya rushwa : Tujifunze toka Rwanda
Rushwa na ufisadi ni adui wa haki na pia ni kikwazo kikubwa cha maendeleo. Rushwa inaathiri ukuaji wa uchumi na upunguzaji wa umaskini. Dawa feki zinaruhusiwa kusambazwa na kuathiri afya za wagonjwa hata kuwaua.
5 years ago
Michuzi
Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.
Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.
Mapema mwezi...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Rihanna ashinda kesi dhidi ya Topshop
Rihannaameshinda kesi ya madai dhidi ya duka la mavzi la Topshop juu ya fulana iliyobandikwa sura yake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania