Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UK yapinga kesi ya mpelelezi mkuu Rwanda

Mahakama ya Uingereza imekataa mpango wa kumsafirisha hadi nchini Uhispania afisa mkuu wa idara ya upelelezi wa Rwanda ili ashtakiwe na jukumu alilochukua wakati wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Misri yapinga malalamiko ya kesi

Wizara vya mashauri ya kigeni nchini Mirsi imepinga lawama za kimataifa kufuatia kuhukumiwa kwa waandishi watatu wa Al Jazeera.

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yapinga kesi kuhusu data

Facebook ililazimishwa kuwasilisha data kuhusu wateja wake waliodaiwa kuhusika na uhalifu

 

11 years ago

BBCSwahili

Seleka yapinga waziri mkuu mteule.

Kundi la wapiganaji wa Seleka wamepinga kuteuliwa kwa Bwana Mahamat Kamounkama waziri mkuu wakisema si mshirika wao

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya mshukiwa wa Rwanda yaanza Ufaransa

Kesi dhidi ya aliyekuwa afisaa wa Jeshi nchini Rwanda, Kapteni Pascal Simbikangwa aliyeshitakiwa kwa kosa la kuhusika na mauaji ya kimbare mwaka 1994 itasikilizwa leo Ufaransa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya wanajeshi 11 wa Rwanda zafutwa

Mahakama Uhispania imefutilia mbali kesi dhidi ya wanajeshi 11 kati ya 40 walioshtakiwa 2008 kwa tuhuma za kutekeleza mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994.

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGNZI MKUU MSD,MKUU WW LOJISTIKI WAFIKISHWA MAHAKAMANI WAKIKABILIWA NA KESI YA TUHUMA YA UHUJUMU UCHUMI

Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari kuu ya Dawa (MSD) nchini,  Laurean Bwanakunu na Mkuu wa Lojistiki wa bohari hiyo Byekwaso Tabura wamefikishwa  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka matano likiwemo la kuisababishia hasara ya zaidi ya Sh.Bilioni bilioni 3.8
Mashtaka mengine ni kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo  Juni 5, 2020, na...

 

11 years ago

Michuzi

Naibu mwanasheria mkuu aomba mahakama kuu itupilie mbali kesi ya kikatiba dhidi ya waziri mkuu

NAIBU Mwanasheria Mkuu, Mhe
George Masaju (pichani) amedai mahakamani katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kwa mujibu wa katiba mamlaka ya mahakama kuingilia mwenendo wa bunge yameondolewa. 
 Pia, Mhe Masaju amedai kuwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi bunge halina mamlaka ya kuingilia mwenendo wa mahakama na kwamba kesi iliyopo mahakamani haina mashiko ya kisheria mahakama...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanafunzi adaiwa kujifanya ofisa mpelelezi

POLISI mkoani Rukwa inamshikilia mwanafunzi wa udereva katika Chuo cha Furaha Center katika eneo la Kantalamba Manispaa ya Sumbawanga mkoani hapa, Clever Simfukwe (19) kwa tuhuma za kujifanya Ofisa Mpelelezi wa Polisi katika mikoa ya Rukwa na Mbeya.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yaua polisi mpelelezi Mbeya

Mbeya. Majambazi yamemuua polisi wa upelelezi, William Mtika (29) wa jijini hapa wakati wa mapambano kwenye tukio la kutaka kupora fedha za Kampuni ya Export And Trading eneo la Iwambi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani