Facebook yapinga kesi kuhusu data
Facebook ililazimishwa kuwasilisha data kuhusu wateja wake waliodaiwa kuhusika na uhalifu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-j1sXTU2SQCA/U67F8cJ7EJI/AAAAAAAAAzg/8EAWsu7HrBU/s72-c/Facebook.jpg)
FACEBOOK YAPINGA KUWASILISHA TAARIFA ZA WAHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-j1sXTU2SQCA/U67F8cJ7EJI/AAAAAAAAAzg/8EAWsu7HrBU/s1600/Facebook.jpg)
Mtandano wa kijamii wa Facebook ulitakiwa kuwasilisha taarifa za wateja wake ambao walihusishwa na uhalifu mtandao wa kujipatia pesa kinyume na sharia kupitia mtandao wa kijamii wa facebook.
Mtandao huo wa kijamii wa Facebook umekata rufaa dhidi ya amri hiyo ya mahakama ambapo ilitakiwa kuwasilisha taarifa za watu takriban 400 waliouhusika...
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Misri yapinga malalamiko ya kesi
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
UK yapinga kesi ya mpelelezi mkuu Rwanda
5 years ago
RFI28 Feb
Facebook sues analytics firm for data misuse
5 years ago
Neowin28 Mar
Zoom removes SDK in its iOS client that sent user data to Facebook
5 years ago
The Verge28 Mar
Zoom updates iOS app to remove code that sent device data to Facebook
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
11 years ago
BBCSwahili27 May
Malaysia yatoa data kuhusu MH370
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Facebook kuchunguzwa kuhusu utafiti