Facebook kuchunguzwa kuhusu utafiti
Tume inayodhibiti taarifa za umma Uingereza inachunguza iwapo Facebook ilivunja kanuni zinazolinda data ya watu binafsi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Facebook matatani kwa utafiti
facebook inachunguza kwa kuwafanya watumiaji wake utafiti bila ya wao wenyewe kujua
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Wasiwasi wa Facebook kuhusu udukuzi
Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa amezungumza na Rais Barack Obama kumwelezea kero lake kuhusu udukuzi unaofanywa na serikali kwa mitambo ya Dijital.
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Facebook yapinga kesi kuhusu data
Facebook ililazimishwa kuwasilisha data kuhusu wateja wake waliodaiwa kuhusika na uhalifu
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Facebook yakosolewa kuhusu fedha za Assad
Shirika moja la misaada limeitaka Facebook kurejesha fedha ilizopata kwa kufanya matangazo ya kampeni ya rais Bashar al-Assad wa Syria.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Utafiti kuhusu uchaguzi ujao ni halisi?
Utafiti uliofanywa na Taasisi huru ya TWAWEZA kuelekea uchaguzi mkuu ujao nchini Tanzania umepokelewa kwa hisia tofauti
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Utafiti: Watanzania wana wasiwasi kuhusu mashambulizi
Matokeo ya utafiti yaliyotolewa leo yanaonyesha wengi wana wasiwasi juu ya vitisho vya mashambulio dhidi ya Tanzania siku zijazo.
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Utafiti wa Takukuru kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa haujafanyiwa kazi
Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka jana, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ilifanya utafiti kwa lengo la kutoa ushauri kwa mamlaka zinazohusika juu ya namna bora ya kudhibiti vitendo vya rushwa katika chaguzi.
5 years ago
MichuziTUMESHERIA YAKABIDHI TAARIFA YA UTAFITI KUHUSU UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI
TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAKABIDHI TAARIFA KUHUSU MAPITIO YA SHERIA ZINAZOSIMAMIA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania imekabidhi Taarifa ya Mapitio ya Sheria Zinazosimammia Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi nchini kwa Waziri wa Katiba ba Sheria Dkt Balozi Augustine Mahiga.
Taarifa hiyo imekabidhiwa kufuatia Tume ya Kurekebisha Sheria kufanya utafiti baada ya kupokea maelekezo ya Wizara ya Katiba na Sheria yakitaka kupitia Mfumo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-04hiM0YNvLQ/XrP1Dqg04XI/AAAAAAALpYY/TbVKZKQ01f4Lp10PxosJKrZxhGm37hUFACLcBGAsYHQ/s72-c/7292aaac-b68b-4f44-98cf-99803afe8dd5.jpg)
Dkt. Ndugulile aiagiza NIMR kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona
WAMJW- Dar es Salaam. WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeitaka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona (Covid-19) kwa kuwa kuna tofauti kubwa ya dalili zilizojitokeza kwa wagonjwa hapa nchini ukilinganisha na wagonjwa waliopo nje ya nchi.
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania