Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook kuchunguzwa kuhusu utafiti

Tume inayodhibiti taarifa za umma Uingereza inachunguza iwapo Facebook ilivunja kanuni zinazolinda data ya watu binafsi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Facebook matatani kwa utafiti

facebook inachunguza kwa kuwafanya watumiaji wake utafiti bila ya wao wenyewe kujua

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa Facebook kuhusu udukuzi

Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa amezungumza na Rais Barack Obama kumwelezea kero lake kuhusu udukuzi unaofanywa na serikali kwa mitambo ya Dijital.

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yapinga kesi kuhusu data

Facebook ililazimishwa kuwasilisha data kuhusu wateja wake waliodaiwa kuhusika na uhalifu

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yakosolewa kuhusu fedha za Assad

Shirika moja la misaada limeitaka Facebook kurejesha fedha ilizopata kwa kufanya matangazo ya kampeni ya rais Bashar al-Assad wa Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti kuhusu uchaguzi ujao ni halisi?

Utafiti uliofanywa na Taasisi huru ya TWAWEZA kuelekea uchaguzi mkuu ujao nchini Tanzania umepokelewa kwa hisia tofauti

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Watanzania wana wasiwasi kuhusu mashambulizi

Matokeo ya utafiti yaliyotolewa leo yanaonyesha wengi wana wasiwasi juu ya vitisho vya mashambulio dhidi ya Tanzania siku zijazo.

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti wa Takukuru kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa haujafanyiwa kazi

Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka jana, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ilifanya utafiti kwa lengo la kutoa ushauri kwa mamlaka zinazohusika juu ya namna bora ya kudhibiti vitendo vya rushwa katika chaguzi.

 

5 years ago

Michuzi

TUMESHERIA YAKABIDHI TAARIFA YA UTAFITI KUHUSU UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI



TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAKABIDHI TAARIFA KUHUSU MAPITIO YA SHERIA ZINAZOSIMAMIA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI

Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA

Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania imekabidhi Taarifa ya Mapitio ya Sheria Zinazosimammia Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi nchini kwa Waziri wa Katiba ba Sheria Dkt Balozi Augustine Mahiga.

Taarifa hiyo imekabidhiwa kufuatia Tume ya Kurekebisha Sheria kufanya utafiti baada ya kupokea maelekezo ya Wizara ya Katiba na Sheria yakitaka kupitia Mfumo wa...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Ndugulile aiagiza NIMR kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona

WAMJW- Dar es Salaam.         WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeitaka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona (Covid-19) kwa kuwa kuna tofauti kubwa ya dalili zilizojitokeza kwa wagonjwa hapa nchini ukilinganisha na wagonjwa waliopo nje ya  nchi.

Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani