Malaysia yatoa data kuhusu MH370
Serikali ya Malaysia, imetoa data iliyotumika kuthibitisha kuwa ndege ya Malaysia iliyotoweka MH370 ilianguka kusini mwa bara Hindi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Malaysia yasitisha msako wa MH370
Serikali ya Malaysia imesitisha shughuli ya kuitafuta ndege iliyopotea ya MH370 na kuitaja kama ajali huku ikisema abiria wote waliangamia
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Ndege ya MH370 ya Malaysia ilibadili mkondo
Jeshi la Malaysia limekanusha madai kuwa ndege ya Malaysia iliyotoweka ilionekana mara Magharibi mwa rasi ya nchi hiyo
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
MH370:Australia na Malaysia kuchunguza mabaki
Serikali nchini Australia na Malaysia zimeelezea matumaini baada ya kupatikana kwa kipande cha mabaki ya ndege karibu na Madagascar
11 years ago
Michuzi12 Mar
Ndege ya MH370 ya Malaysia iliyopotea,ilibadili mkondo
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/s2natLbtLo9l14P_cj3M-1RHeW7kzKsYFqBeMKP7Hsdv0fFTg2SuhF8Any6SZV5aovbeJ0ayb54gtZMIVEmo8t_YH6UTbYyzLpDaSli_IIgErog-3hN7iFKfK8b87egnLlpQMmkjikY1J9lPxrqB0urYyLYhX5-sbmR5XgaQgWpMUnONmHS7vTVNZ024dA=s0-d-e1-ft#http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/03/11/140311065819_malaysia_missing_plane_304x171_ap_nocredit.jpg)
Ndege ya Malaysia iliyotoweka Mkuu wa jeshi la anga la Malaysia, amekanusha madai kuwa ndege ya Malaysia iliyotoweka, ilionekana mara ya mwisho Magharibi ya rasi ya nchi hiyo, eneo ambalo ni mbali zaidi na njia iliyostahili kupita.
Generali Rodzali Daud, amesema kuwa hawawezi kupuuza uwezekano huo, lakini amesema madai kuwa mawasiliano ya ndege hiyo yalinaswa na mtambo wa radar katika eneo hilo sio kweli.
Amesema mawasiliano ya mwisho ya ndege hiyo iliyokuwa ikitoka Kuala Lumpur kuelekea...
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Malaysia yaomba data na rada ya ndege
Serikali ya Malaysia yaomba kupewa rada zaidi pamoja na data ya satelite ya ndege iliopotea.
11 years ago
BBCSwahili16 Mar
Malaysia yaomba data kutoka nchi kadha
Malaysia yaomba data zaidi ya radar na satalaiti ili kugundua ndege iliyopotea iko wapi huku nyumba za marubani zapekuliwa
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Ebola:Malaysia yatoa glavu milioni 20
Malaysia imetangaza kutoa mchango wa glavu milioni 20 kwa mataifa 5 yanayopambana na homa hatari ya Ebola Afrika Magharibi
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Taharuki kuhusu neno 'Allah' Malaysia
Polisi nchini Malaysia wanasema kuwa wamedhibiti ulinzi wa makanisa katika jimbo la Penang baada ya moja ya makanisa kushambuliwa kwa mabomu
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Facebook yapinga kesi kuhusu data
Facebook ililazimishwa kuwasilisha data kuhusu wateja wake waliodaiwa kuhusika na uhalifu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania