Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Malaysia yatoa glavu milioni 20

Malaysia imetangaza kutoa mchango wa glavu milioni 20 kwa mataifa 5 yanayopambana na homa hatari ya Ebola Afrika Magharibi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia yatoa data kuhusu MH370

Serikali ya Malaysia, imetoa data iliyotumika kuthibitisha kuwa ndege ya Malaysia iliyotoweka MH370 ilianguka kusini mwa bara Hindi.

 

11 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Tanzania Malaysia wakutana na wafanyabiashara wa Malaysia (MEXPA)

Ubalozi wa Tanzania leo hii ulikutana na kufanya Manzungumzo ya pamoja kuangalia fursa za Kiuchumi zilizipo Tanzania na na kikundi na uongozi wa Malaysian Exporters Association.(MEXPA) Kwenye picha ya pamoja baada ya mazungumzo hayo kutoka kushoto ni: Mr. Rogathian Shao,  Naibu Mkurugenzi na Balozi Mdogo, Dr. S. P.Dhanabalan Makamu wa Rais wa Kuala Lumpur & Selangor Indian Chamber of Commerce and Industry, Ms. Puan severan Dhalliwal- Makamu wa Rais wa MEXPA, Mr. Abdul Kabur Ibrahim-Rais...

 

11 years ago

GPL

PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA

Waziri wa ulinzi Hishammuddin Hussein (katikati) akikanusha madai ya ndege kukaa masaa manne hewani kabla ya kupotea.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBL yatoa milioni 10 kukabiliana na ujangili

KAMPUNI ya Bia ya Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Ndovu imetoa shilingi milioni 10 kwa ajili ya kusaidia kampeni ya kuwalinda Tembo, wanyama ambao wanazidi kutoweka kutokana na kuuliwa...

 

11 years ago

Habarileo

Stamico yatoa milioni 800/- Buhemba

SERIKALI kupitia Shirika la Madini la Taifa (Stamico) limetoa takribani Sh milioni 800 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, nyumba ya mwalimu na kituo cha afya katika eneo la mgodi wa Buhemba ulioko Musoma, mkoani Mara.

 

11 years ago

Habarileo

Dar yatoa milioni 7/- kwa wajasiriamali

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Idara ya Mipango Miji imetoa Sh milioni saba, kama mikopo kwa vikundi vitatu vya wajasiriamali.

 

5 years ago

Michuzi

IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

SHIRIKA  la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.

Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.

Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

TAA YATOA MILIONI 10/- KUJENGA MAABARA MONTFORT

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) imeahidi kuipa shule ya Sekondari ya Montofort iliyo Yombo Vituka, Dar es Salaam, Tsh. Milioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa maabara huku ikiwataka wanafunzi wasomee  pia usafiri wa anga kwani sekta hiyo inahitaji wataalam marubani, wahandisi, watoa huduma kwenye ndege n.k.
Ahadi hiyo ilitolewa na Mwanasheria Mkuu wa TAA, Wakili Ramadhan A. Maleta katika mahafali ya kidato cha nne cha shule hiyo iliyo jirani na Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius...

 

10 years ago

Vijimambo

WHO YATOA DAWA ZA MILIONI 42.2 KUPAMBANA NA KIPINDUPINDU NCHINI

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akipokea msaada huo kutoka WHO. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Nchini Dk. Rufaro Chatora. Taarifa ikitolewa kabla ya kupokea msaada huo. Hapa wakitiliana saini mkataba wa kupokea msaada huo.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Nchini Dk. Rufaro Chatora (katikati), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani