Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamuzi pingamizi kesi ya Pinda Apr 17

Hatima ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda sasa itajulikana Aprili 17, 2014, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hatima pingamizi kesi ya Pinda leo

Hatima ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda inatarajiwa kujulikana leo, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na walalamikiwa katika kesi hiyo, Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

 

9 years ago

Mwananchi

Mahakama yatupa pingamizi la Serikali kesi ya Mawazo

Mahakama Kuu, Kanda ya Mwanza jana ilitupa pingamizi la Serikali la kuitaka itupilie mbali kesi ya kutaka kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo na hivyo kutoa fursa kwa familia ya marehemu kufungua kesi ya msingi.     

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaweka pingamizi kesi ya Bunge la Katiba

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George MasajuUPANDE wa Jamhuri umewasilisha pingamizi dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini

BETTY 1

Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.

Bw.+Phil-Makini+Kleruu

Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.

Na Mwandishi wetu, Arusha

Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali  kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...

 

10 years ago

Habarileo

Uamuzi kesi kupinga Bunge Maalum leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi wa kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge la Katiba.

 

9 years ago

Mwananchi

Uamuzi gharama za kesi ya ubunge Mbagala kutolewa leo

Mahakama Kuu leo inatarajiwa kutoa uamzui wa maombi ya tathmini ya gharama za usikilizwaji wa kesi ya ubunge katika kesi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wa Jimbo la Mbagala, jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Majaji wapishana uamuzi kesi ya Kampuni ya AMI Tanzania

MAJAJI watatu wa Mahakama ya Rufani wametofautiana katika kutoa uamuzi wa kesi ya malipo ya Sh bilioni tano inayowahusu zaidi ya wafanyakazi 110 wa Kampuni ya AMI Tanzania.

 

9 years ago

StarTV

 Uamuzi kesi wa mita 200  iliyofunguliwa kutolewa Oktoba 23

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imetoa maelekezo  kuwa Oktoba 23 mwaka huu itatoa Uamuzi dhidi ya Kesi iliyofunguliwa ya Kikatiba kuhusu Tafsiri sahihi ya Umbali anaotakiwa kusimama Mpiga kura baada ya kupiga kura.

Kesi hiyo Namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala anayeongozwa na Wakili Peter Kibatala, ambaye anataka Tafsiri ya kifungu 104 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu kukaa umbali wa mita mia 200 baada ya kupiga kura

 Kesi hiyo imeanza kuunguruma mapema Wiki...

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Uamuzi wa madiwani Chadema umeshatolewa

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Debora Sanja, Dodoma

UAMUZI kuhusu hatma ya madiwani watatu wa Chadema katika Manispaa ya Ilemela waliofukuzwa na Meya wa Manispaa hiyo, Henry Mtata, umekwisha kutolewa.

Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakati akijibu swali la Mbunge wa Ilemelea, Highness Kiwia (Chadema) wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu.

Katika swali lake, Kiwia alitaka kujua lini madiwani watatu wa Manispaa ya Ilemela waliofukuzwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani