Uamuzi pingamizi kesi ya Pinda Apr 17
Hatima ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda sasa itajulikana Aprili 17, 2014, wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Hatima pingamizi kesi ya Pinda leo
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Mahakama yatupa pingamizi la Serikali kesi ya Mawazo
10 years ago
Habarileo05 Sep
Serikali yaweka pingamizi kesi ya Bunge la Katiba
UPANDE wa Jamhuri umewasilisha pingamizi dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini
Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...
10 years ago
Habarileo25 Sep
Uamuzi kesi kupinga Bunge Maalum leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi wa kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge la Katiba.
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Uamuzi gharama za kesi ya ubunge Mbagala kutolewa leo
11 years ago
Habarileo27 Jan
Majaji wapishana uamuzi kesi ya Kampuni ya AMI Tanzania
MAJAJI watatu wa Mahakama ya Rufani wametofautiana katika kutoa uamuzi wa kesi ya malipo ya Sh bilioni tano inayowahusu zaidi ya wafanyakazi 110 wa Kampuni ya AMI Tanzania.
9 years ago
StarTV23 Oct
 Uamuzi kesi wa mita 200  iliyofunguliwa kutolewa Oktoba 23
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imetoa maelekezo kuwa Oktoba 23 mwaka huu itatoa Uamuzi dhidi ya Kesi iliyofunguliwa ya Kikatiba kuhusu Tafsiri sahihi ya Umbali anaotakiwa kusimama Mpiga kura baada ya kupiga kura.
Kesi hiyo Namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala anayeongozwa na Wakili Peter Kibatala, ambaye anataka Tafsiri ya kifungu 104 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu kukaa umbali wa mita mia 200 baada ya kupiga kura
Kesi hiyo imeanza kuunguruma mapema Wiki...
10 years ago
Mtanzania06 Feb
Pinda: Uamuzi wa madiwani Chadema umeshatolewa
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Debora Sanja, Dodoma
UAMUZI kuhusu hatma ya madiwani watatu wa Chadema katika Manispaa ya Ilemela waliofukuzwa na Meya wa Manispaa hiyo, Henry Mtata, umekwisha kutolewa.
Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakati akijibu swali la Mbunge wa Ilemelea, Highness Kiwia (Chadema) wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu.
Katika swali lake, Kiwia alitaka kujua lini madiwani watatu wa Manispaa ya Ilemela waliofukuzwa...