Waliomba mikopo HELSB kujulikana
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HELSB), imesema kuwa itatangaza rasmi majina ya wanafunzi waliokidhi vigezo vya kupata mkopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015. Hayo yamesemwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Nov
Wanafunzi lukuki wapata mikopo HELSB
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), mpaka sasa imetoa mikopo kwa waombaji wenye sifa wapya 40,836 kati ya waombaji 50,830 wanaostahili kupatiwa mikopo hiyo kwa mwaka wa masomo wa 2015/2016.
9 years ago
VijimamboORODHA YA MAJINA YA WALIOMBA KUJINGA NA JESHI LA POLISI
JESHI LA POLISI TANZANIA LINAWAJULISHA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014, KIDATO CHA NNE MWAKA 2014 NA JKT MWAKA 2015 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI KUWA WANATAKIWA KURIPOTI KWA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA TAREHE 28/08/2015 KWA AJILI YA MAANDALIZI YA USAFIRI WA KWENDA SHULE YA POLISI TANZANIATAREHE 29/08/2015.
KILA MMOJA ATATAKIWA KUWA NA NAULI YA KUMWEZESHA KUSAFIRI TOKA MAKAO MAKUU YA MKOA ANAKOANZIA KUSAFIRI HADI...
9 years ago
VijimamboORODHA YA MAJINA YA WALIOMBA KUJINGA NA JESHI LA POLISI YATOKA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi(JAMIIMOJABLOG)
JESHI LA POLISI TANZANIA LINAWAJULISHA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014, KIDATO CHA NNE MWAKA 2014 NA JKT MWAKA 2015 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI KUWA WANATAKIWA KURIPOTI KWA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA TAREHE 28/08/2015 KWA AJILI YA MAANDALIZI YA USAFIRI WA KWENDA SHULE YA POLISI TANZANIATAREHE 29/08/2015.
KILA MMOJA ATATAKIWA KUWA NA NAULI YA KUMWEZESHA KUSAFIRI TOKA MAKAO MAKUU YA MKOA ANAKOANZIA KUSAFIRI HADI...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
HELSB yatangaza kiama kwa waajiri
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB), imewatangazia kiama waajiri watakaoshindwa kuwasilisha taarifa za watumishi waliokopa katika bodi hiyo.
Imesema haitakuwa na huruma na waajiri hao na kwamba itawafikisha mahakamani.
Mkurugenzi Msaidizi Urejeshaji Mikopo wa HELSB, Robert Kibona, alisema hayo jana mjini Dodoma katika kutano mkuu wa mwaka wa wakurugenzi wa Utawala na Raslimali watu serikalini.
Alisema tayari waajiri watano wamechukuliwa hatua kutokana na kushindwa...
10 years ago
GPLBODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU YAELEZEA UREJESHWAJI WA MIKOPO
Mkurugenzi wa Habari Elimu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Cosmas Mwaisogwa (katikati) akizungumza jambo, kulia ni Afisa Mwandamizi wa Elimu Bodi ya Elimu ya Juu, Veneranda Malima na kushoto ni Juma Chagonja, Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo ya Elimu ya Juu. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
BODI YA MIKOPO YATAKIWA KUWA TAYARI KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI PINDI VYUO VITAKAPOFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0oHVA2UbJjY/XsKDtaBJVtI/AAAAAAALqqI/MYmvXNWfSuwiEzqd-KE1pvfhLbD7QQYGwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.03%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZorMRMpkxok/XsKDugAyI6I/AAAAAAALqqQ/ZOLUe0pbRl0cMunDKQwEcuLriC0jUDSeQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.22%2BPM.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YASOGEZA MBELE TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 31 Julai, 2015.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kuwa, awali Bodi ilianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao tarehe 4 Mei, 2015 na mwisho wa kuwasilisha maombi ulipangwa kuwa tarehe 30 Juni, 2015.
Kupitia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s72-c/NMB-1.jpg)
NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.
![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s640/NMB-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--9b5tR4SWeA/VnFCKG-pU9I/AAAAAAAApPQ/1hskTdNVBKs/s640/NMB%2B-2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania