HELSB yatangaza kiama kwa waajiri
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB), imewatangazia kiama waajiri watakaoshindwa kuwasilisha taarifa za watumishi waliokopa katika bodi hiyo.
Imesema haitakuwa na huruma na waajiri hao na kwamba itawafikisha mahakamani.
Mkurugenzi Msaidizi Urejeshaji Mikopo wa HELSB, Robert Kibona, alisema hayo jana mjini Dodoma katika kutano mkuu wa mwaka wa wakurugenzi wa Utawala na Raslimali watu serikalini.
Alisema tayari waajiri watano wamechukuliwa hatua kutokana na kushindwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-oqA7vQY3_4s/U76q5EmucOI/AAAAAAAABV0/JYZH9pmcwyU/s72-c/Unknown.jpeg)
Ngeleja atangaza kiama kwa watendaji
NA PETER KATUANDA, SENGEREMA
MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, amecharuka na kutishia kuwang’oa baadhi ya watendaji watakaokwamisha na kuchakachua miradi ya maji wilayani Sengerema.
![](http://4.bp.blogspot.com/-oqA7vQY3_4s/U76q5EmucOI/AAAAAAAABV0/JYZH9pmcwyU/s1600/Unknown.jpeg)
Alisema hatakubali CCM ikose kura katika uchaguzi ujao kwa sababu ya...
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
CHADEMA yatanga kiama kwa wasaliti
UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Dodoma umetangaza kiama kwa wanachama mamluki ambao wamekuwa wakitumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa ajili ya kusababisha migogoro ndani...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Magufuli atangaza kiama kwa wakandarasi
WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli ametangaza kiama kwa wakandarasi wa barabara watakaochelewa kukamilisha miradi ya barabara waliyopewa ikiwa ni pamoja na wale watakaojenga chini ya kiwango. Dk. Magufuli alitoa...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Mbeya yahaidi kiama kwa Rhino, Simba
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Waliomba mikopo HELSB kujulikana
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HELSB), imesema kuwa itatangaza rasmi majina ya wanafunzi waliokidhi vigezo vya kupata mkopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015. Hayo yamesemwa...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Sheria,sera ya kazi tatizo kwa waajiri
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
NSSF yaendesha semina kwa waajiri, wanachama
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu, amewataka waajiri na wanachama wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kujadili changamoto zinazokabili shirika hilo na...
9 years ago
MichuziNSSF KUFUATILIA MADENI KWA WAAJIRI SUGU
Na John Nditi, Morogoro.SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka waajiri wa sekta mbalimbali nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa...