Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja atangaza kiama kwa watendaji


NA PETER KATUANDA, SENGEREMA  
MBUNGE wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, amecharuka na kutishia kuwang’oa baadhi ya watendaji watakaokwamisha na kuchakachua miradi ya maji wilayani Sengerema.
Alisema hayo juzi alipowahutubia wananchi wa kijiji cha Busisi wilayani hapa, wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na halmashauri, pamoja na kusikiliza hoja za wananchi katika maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.
Alisema hatakubali CCM ikose kura katika uchaguzi ujao kwa sababu ya...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Magufuli atangaza kiama kwa wakandarasi

WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli ametangaza kiama kwa wakandarasi wa barabara watakaochelewa kukamilisha miradi ya barabara waliyopewa ikiwa ni pamoja na wale watakaojenga chini ya kiwango. Dk. Magufuli alitoa...

 

11 years ago

Mwananchi

RC Dar atangazia kiama watendaji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadik ametangaza kiama kwa watendaji wa mitaa na maofisa afya watakaozembea kusimamia masuala ya usafi katika maeneo yao, hivyo kusababisha mkoa kuwa na sifa ya uchafu.

 

9 years ago

Vijimambo

Magufuli atangaza kiama.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, amesema akichaguliwa kuwa rais atakomesha tabia ya kuhamisha watendaji wabovu walioharibu sehemu moja kwenda nyingine na badala yake atawafukuza kazi moja kwa moja.

Aliyasema hayo jana kwa nayakati tofauti wakati akiwahutubia wananchi wa Nyamongo na Tarime Mjini wilayani Tarime mkoani Mara ikiwa ni siku yake ya pili ya ziara ya kampeni mkoani hapa.

Alisema tabia hiyo imekuwa ikichangia kwa kiwango kikubwa kuchelewesha maendeleo ya wananchi na...

 

11 years ago

Mwananchi

JK atangaza kiama cha majangili

Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imenuia kumaliza kabisa ujangili nchini, ikiwa ni hatua ya kunusuru wanyama walio hatarini kutoweka katika hifadhi za taifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lukuvi atangaza kiama wamiliki mashamba

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema watu wanaomiliki mashamba bila kuyaendeleza huku wakiyatumia kama dhamana ya kukopea fedha benki watanyang’anywa.

 

10 years ago

Vijimambo

BALAA, NABII JEREMIAH ATANGAZA KIAMA,AWATAKA WAGANGA WA KIENYEJI WAJISALIMISHA.. ATOA SIKU 14

Dokta Manyaunyau ambae ameombwa kuwa wa kwanza kujisalimisha kwake kutokana na matatizo makubwa aliyokuwa nayo.
Na Mwandishi wa MaskanibongotzKatika hali isiyokuwa ya kawaida Nabii Jerry wa kanisa la Holly Ghost Fire lilipo Mbezi Juu kwa Temba Jijini Dar ametoa mpya baada ya kuwatangazia kiama waganga wote wanaotumika kwa ushirikina pamoja na wachawi kujisalimisha kanisani kwake mara moja kabla moto wake haujatua kwenye vichwa vyao.Akiongea na waandishi wa habari mbalimbali Kanisani kwake...

 

10 years ago

Vijimambo

Ngeleja atangaza nia ya kuwania Urais asema" Nitapambana na maadui sita"

Kada wa CCM kutoka Wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza, akimkabidhi, Mbunge wa Jimbo hilo, William Ngeleja (wa pili kulia) kiasi cha Shilingi Milioni moja kwa ajili ya kuchukulia fomu ya urais. Picha na Aidan Mhando
Mwanza. Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na mambo sita aliyoyaita maadui wakuu wa nchi ambayo ni umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, ufisadi na mmomonyoko wa maadili.Akitangaza nia hiyo kwenye Ukumbi wa Benki...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

HELSB yatangaza kiama kwa waajiri


NA MWANDISHI WETU
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB), imewatangazia kiama waajiri watakaoshindwa kuwasilisha taarifa za watumishi waliokopa katika bodi hiyo.
Imesema haitakuwa na huruma na waajiri hao na kwamba itawafikisha mahakamani.
Mkurugenzi Msaidizi Urejeshaji Mikopo wa HELSB, Robert Kibona, alisema hayo jana mjini Dodoma katika kutano mkuu wa mwaka wa wakurugenzi wa Utawala na Raslimali watu serikalini.
Alisema tayari waajiri watano wamechukuliwa hatua kutokana na kushindwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yatanga kiama kwa wasaliti

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Dodoma umetangaza kiama kwa wanachama mamluki ambao wamekuwa wakitumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa ajili ya kusababisha migogoro ndani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani